Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Tayari dalili za kushindwa zina anza kuoneka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Man hizi picha unatoaga wapi? Nilishajiuliza hili swari siku nyingi Leo nimeamua nikuulize
Kisheria haruhusiwi kugombea kwa kuanza kampeni mapema kabla ya kutangazwa rasmi na tume yake ya uchaguzi. Ila nani anaweza kumshtaki mshtakiwa anayekuwa hakimu katika shauri husika??!! Na katiba yetu inasema rais hawezi kushtakiwa kwa kosa lolote analofanya akiwa madarakani - inamlinda mkosaji!
watatuonyesha tu, mpaka kitumbua cha mamaWaswahili pia wamenena kuwa wazimu ncha 7. Hivi kuna watu wanazo hata kdg!?
Naamini kuna mpk pichu za Mama watu wanavaa bado kutuonesha hadharani tu
Exactly 💯 😂 😂 😁Imebaki pichu tuu