Tanganyika inateketea

Tanganyika inateketea

Waswahili pia wamenena kuwa wazimu ncha 7. Hivi kuna watu wanazo hata kdg!?
Naamini kuna mpk pichu za Mama watu wanavaa bado kutuonesha hadharani tu
Naamini kuna mpk pichu za Mama watu wanavaa bado kutuonesha hadharani tu🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
 
Tugawane fito
Hamia Burundi
IMG-20250306-WA0029.jpg
 
Huyo Askofu anasema kweli kabisa. Yaani hii nchi ukianzisha ka mradi tu, magari ya serikali yatapishana hapo aisee. Mara fire, mara halmashauri, tra, tbs, nemc, osha, watu wa mizani...etc halafu kima mmoja anakuja kwa vitisho. Serikali imepandikiza ideology za hovyo sana kwa watumishi wake.
 
Screenshot_20250306-105543.jpg
Screenshot_20250306-105539.jpg
Screenshot_20250306-105534.jpg
Screenshot_20250306-105531.jpg
Screenshot_20250306-105527.jpg

Huyu mkoloni wa Kizanzibari mbona kaanza kampeni mapema kiasi hiki? Hizi rushwa ni pesa zake za mfukoni au anachota tu hazina?
Watanganyika mmezidi uzoba ndiyo maana mnatawaliwa na mtu kutoka nchi ya Zanzibar(kama si nchi je ni mkoa au Wilaya?). Yaani Zanzibar in rais wawili mmoja anatawala Zanzibar na mwingine anatawala Zanzibar+ Tanganyika?
Hili la kampeni kuanza kabla ya muda wake nalo ni ubabe wa aina yake.
Screenshot_20250203-151313~2.jpg
 
Back
Top Bottom