Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu naye ni ofisa wa serikali😂😂😂Siyo inateketea ishaisha, yamebaki Majivu.
Eti huyu naye ni ofisa wa serikali
View attachment 3256202
Naamini kuna mpk pichu za Mama watu wanavaa bado kutuonesha hadharani tu🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿Waswahili pia wamenena kuwa wazimu ncha 7. Hivi kuna watu wanazo hata kdg!?
Naamini kuna mpk pichu za Mama watu wanavaa bado kutuonesha hadharani tu
CCm Daima Samia mitano tena bila wasiwasiHawa washauri wanapata bei gani kwenye huu/hii miradi? Chanzo cha mapato kinatoka wapi?
Mpaka uchaguzi upite kuna watu watakuwa matrilionea..
Anyway tumsikilize Dr. Bagonza PhD kwanza kabla ya karamu ya mapichapicha...😭View attachment 3256161
Kwani hiyo tume ya uchaguzi inafanya kazi gani mbona kampeni zimeanza mapema sanaAdui namba moja wa taifa letu ni CCM
udakatari aliusomea wap ?
Imeasisiwa na aduiKwani hiyo tume ya uchaguzi inafanya kazi gani mbona kampeni zimeanza mapema sana
Kwani huyu mama mbona anahangaika sana