Ukiandika ung'eng'e ndio mnapewa uhuru wenu?It's been 58 yrs. now Tanganyika have taken away the indepence of our country Zanzibar. We got our indepence from Britain and became a member of the United Nations. Kenya also became a member of the UN on the same day, As a member of UN, we fall under every security council resolution determining the status of occupied nations. We are urging members of the security council to condemn this occupation and give back zanzibar it's place in the UN.
Nothing, absolutely nothing.and what does Tanganyika get in return ?
wewe ni mmoja kati ya wale wanao endeleza ukandamizi wa watu dhidi ya watu. Ilivo palestina na Israeli ndio vile vile ilivo tanganyika juu ya Zanzibar. Tafauti ni kuwa sisi hatukufanya fujo kwa kuwa tulijuwa mutatumaliza. !964, unguja na pemba tulikuwa watu 300,000 mukauwa watu 26,000 Kila familia walikuwa wana muathirika wa mapinduzi. Wengi wazanzibari hatusherehekei Mapinduzi. Wanao shereheka ni wanaokuja kutoka bara na wasaliti wenzao. wazanzibari asili, ambao ndio sisi, huwa hatujiiingizi katika maasi hayo.Ukiandika ung'eng'e ndio mnapewa uhuru wenu?
Hili ni suala la kumuuliza Julius Nyerere, "the master mind". Au unaweza kumuuliza Lukuvi na kanisa katoliki.Nothing, absolutely nothing.
Nyie mmeamua kuchagua CCM huyo ndiye adui yenuwewe ni mmoja kati ya wale wanao endeleza ukandamizi wa watu dhidi ya watu. Ilivo palestina na Israeli ndio vile vile ilivo tanganyika juu ya Zanzibar. Tafauti ni kuwa sisi hatukufanya fujo kwa kuwa tulijuwa mutatumaliza. !964, unguja na pemba tulikuwa watu 300,000 mukauwa watu 26,000 Kila familia walikuwa wana muathirika wa mapinduzi. Wengi wazanzibari hatusherehekei Mapinduzi. Wanao shereheka ni wanaokuja kutoka bara na wasaliti wenzao. wazanzibari asili, ambao ndio sisi, huwa hatujiiingizi katika maasi hayo.
wewe ni mmoja kati ya wale wanao endeleza ukandamizi wa watu dhidi ya watu. Ilivo palestina na Israeli ndio vile vile ilivo tanganyika juu ya Zanzibar. Tafauti ni kuwa sisi hatukufanya fujo kwa kuwa tulijuwa mutatumaliza. !964, unguja na pemba tulikuwa watu 300,000 mukauwa watu 26,000 Kila familia walikuwa wana muathirika wa mapinduzi. Wengi wazanzibari hatusherehekei Mapinduzi. Wanao shereheka ni wanaokuja kutoka bara na wasaliti wenzao. wazanzibari asili, ambao ndio sisi, huwa hatujiiingizi katika maasi hayo.
Its not true, we united by mutual agreement which WILL NEVER BE terminated.It's been 58 yrs. now Tanganyika have taken away the indepence of our country Zanzibar. We got our indepence from Britain and became a member of the United Nations. Kenya also became a member of the UN on the same day, As a member of UN, we fall under every security council resolution determining the status of occupied nations. We are urging members of the security council to condemn this occupation and give back zanzibar it's place in the UN.
CCM haijawahi kushinda Zenji. Imethibitishwa na viongozi wa CCM wa ngazi ya juu. Mwenda zake (magu) alipoona asili mia 86 imemkataa ndipo alipofanya chuki kubwa dhidi ya wazenji lakini Mungu alimuona.Nyie mmeamua kuchagua CCM huyo ndiye adui yenu
Hakuna taifa linajiita wazenji?CCM haijawahi kushinda Zenji. Imethibitishwa na viongozi wa CCM wa ngazi ya juu. Mwenda zake (magu) alipoona asili mia 86 imemkataa ndipo alipofanya chuki kubwa dhidi ya wazenji lakini Mungu alimuona.
Mkoloni wenu ni CCM, wala siyo Tanganyika au WatanganyikaIt's been 58 yrs. now Tanganyika have taken away the indepence of our country Zanzibar. We got our indepence from Britain and became a member of the United Nations. Kenya also became a member of the UN on the same day, As a member of UN, we fall under every security council resolution determining the status of occupied nations. We are urging members of the security council to condemn this occupation and give back zanzibar it's place in the UN.
huo sio ukweli kabisa. Waomani hawaja ng'ang'ania zanzibar. Mbona Nyerere alikwenda Oman na alikuwa na uhusiano mzuri na waomani. Hizo ni chuki zisizo msingi. Tukae kwenye mada husika.Hakuna taifa linajiita wazenji?
Tuna watanzania
Ni vizuri wakucheki document zako huwezi kua muafrica ww ! Ni waarabu wa oman pekee ndo wanaweza ing’ang’ania zanzibar
Unaweza kusema hivo sababu CCM ndio waliotawala tangu hapo Taifa la Tanzania kubuniwa.Mkoloni wenu ni CCM, wala siyo Tanganyika au Watanganyika
Watanzania ni taifa la kubuni. Kama alivosema Shaaban Robert, ni nchi ya kusadikika. Tanzania iliwekwa kuiuwa Zanzibar na ilifanywa bila ya ridhaa ya wazanzibari. Zanzibar bado haijajitoa kwenye umoja wa mataifa. Hamna barua ya kujiondoa ila Tanzania imekalia kiti cha Zanzibar.Hakuna taifa linajiita wazenji?
Tuna watanzania
Ni vizuri wakucheki document zako huwezi kua muafrica ww ! Ni waarabu wa oman pekee ndo wanaweza ing’ang’ania zanzibar
Hamna makubaliano ya muungano. Kuna "articles of the union" basi . Hamna makubaliano kabisa. Tumetawaliwa na akina Nyerere et al.Its not true, we united by mutual agreement which WILL NEVER BE terminated.
usikimbie huu ni mjadalaHili ni suala la kumuuliza Julius Nyerere, "the master mind". Au unaweza kumuuliza Lukuvi na kanisa katoliki.
Articles of Union ndio makubaliano yenyewe.Hamna makubaliano ya muungano. Kuna "articles of the union" basi . Hamna makubaliano kabisa. Tumetawaliwa na akina Nyerere et al.
wenye ardhi ya Zanzibar tupo. Sisi tunaweza kujitambulisha generation 25 hadi sasa. Wewe unaweza kuwataja babu zako waliopita generation 25?. Acheni kuzusha eti zanzibar haina wenyewe. wazee wetu walikuwa wakifanya biashara na Meng dynasty ya china. Nyinyi muna historia hiyo?. Wenye zanzibar tupo.Zanzibar ni ardhi ya wahamiaji, haina mwenyewe...
masikitiko makubwa kwa watu wasio na uwelewa. Haqmna kitu kama hicho. Muulize Kikwete, ali FEKI karatasi za makubaliano na zilipopelekwa kuthibitishwa zikafeli. Hayo makubaliano yatakuwa ni ya kimataifa lakini hamna ushahidi wake. Hata Un wanatambua kuwa zanzibari ni taifa lililo tawaliwa.Its not true, we united by mutual agreement which WILL NEVER BE terminated.