0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,155
- 11,168
Hv ving'amuz wengi wanaviuza bila madishi nazan wanaogopa serikali inawezekana wapo kimagumashi,dikoda yao inapendelea yale madishi mapana kama la dstv,ukiwa na dish pana hata fundi ahangaiki sana kupata signal zaoHapo unaposema bei ya bila dish maana yake unaweza ukatumia dish jingine lolote au ni wale wenye madish yaliyoharibika visimbuzi?