INAUZWA Tangazo kwa wanaohitaji visimbuzi vya Canal+ Sports

INAUZWA Tangazo kwa wanaohitaji visimbuzi vya Canal+ Sports

Canal+ mikoani watu wanaitumia sn...not sure hizo decider zako but zinatakiwa kua na lugha zote labda km bado hamjajua jinsi ya kubadili lugha ilahio option inatakiwa kuwepo
Me pia nmeona mtu ameweza kubadili to english sa najiuliza au inategemea na aina ya tv?
 
SIFA ZA KING'AMUZI CHA CANAL+

1. Bei ya decorder pekee ni Tsh 130,000/=, bei ya decorder na dish(complete) ni Tsh 165,000/=.
Vyote hivi vitakuwa na kifurushi cha Tsh 40,000/= kwa mwezi mmoja bure.

2. Kupitia hicho kifurushi cha kuanzia utafanikiwa kuangalia mechi za ligi zote kuanzia EPL, La Liga, Serie A, Bundesliga, Ligue 1, UEFA Champions League, EUROPE League, World Cup, CHAN, CAF Champions League na CAF Confederation Cup

3. Bei ya kifurushi kwa mwezi ni Tsh 37,000/= unapata baadhi ya channel za michezo au Tsh 40,000/= ambacho kinakupa ligi zote zilizotajwa hapo juu.

4. Lugha ni Kifaransa pekee.


Pata king'amuzi chako ufurahie uhondo huu.

Tupo Kigoma na popote ndani ya Tanzania tunakuagizia kwa uaminifu mkubwa.
@canalplus_tanzania #CanalPlus
Mawasiliano 0629439450, 0655229897
WhatsApp +257 72328243

IMG_20220412_194128_1.jpg
I WILL GET BACK TO YOU AS SOON AS POSSIBLE.
 
Back
Top Bottom