Hv ving'amuz wengi wanaviuza bila madishi nazan wanaogopa serikali inawezekana wapo kimagumashi,dikoda yao inapendelea yale madishi mapana kama la dstv,ukiwa na dish pana hata fundi ahangaiki sana kupata signal zaoHapo unaposema bei ya bila dish maana yake unaweza ukatumia dish jingine lolote au ni wale wenye madish yaliyoharibika visimbuzi?
UmepigwaSijui mlikuwaga wapi 2021 niliwatafuta sana bila mafanikio hatimae nikaangukia kwa wakala wa dsm nalipia 45,000 kwa mwezi na dikoda nilinunua 200,000
Huyo haijui Canal anabwabwaja tu.Haina option ya kubadili lugha
Habari mkuu,hivi hii canal plus wao hawana chanel zaidi ya mpira? hakuna chanel za lifestyle? movie? wanyama? na channel zetu za kibongo zinapatikana au?Kwa anaye hitaji king'amuzi cha Cannal Plus
Tsh.150,000 ina offer ya mwezi mmoja
Kulipia ni kwangu mwenyewe ni bila shida yeyote
Mawasiliano simu:0712-430 116
Na kwasasa tutaonesha world Cup mechi zote
View attachment 2421803
View attachment 2421805
Kifurushi cha sh ngap niangalie world cupKwa anaye hitaji king'amuzi cha Cannal Plus
Tsh.150,000 ina offer ya mwezi mmoja
Kulipia ni kwangu mwenyewe ni bila shida yeyote
Mawasiliano simu:0712-430 116
Na kwasasa tutaonesha world Cup mechi zote
View attachment 2421803
View attachment 2421805
Kifurushi cha sh ngap niangalie world cup
Habari mkuu,hivi hii canal plus wao hawana chanel zaidi ya mpira? hakuna chanel za lifestyle? movie? wanyama? na channel zetu za kibongo zinapatikana au?
Kifurushi cha sh ngap niangalie world cup
Changamoto ni njia ya ulioaji tu ingekuwa wana option ya visa au kwenye mpesa wangekuwa kwenye list
Acha nirud kwa wakala wangu wa 40kTsh.45,000 boss wangu
Karibu nikuuzie
Acha nirud kwa wakala wangu wa 40k
zipo kwa lugha gani hizo chanel nyingine? Na je nikitaka kuona na chanel za nyumban inawezekana?Zipo channel zingine za movie za cartoon serias za wanyama za miziki
zipo kwa lugha gani hizo chanel nyingine? Na je nikitaka kuona na chanel za nyumban inawezekana?
Nmeona kuna mtu amechange lugha kabisa to english,au inategemea na aina ya tv???Huyo haijui Canal anabwabwaja tu.