Tangazo la biashara la twiga cement

Tangazo la biashara la twiga cement

Nilitaka kuanzishia topic jmosi iliyopita. actually hayo matangazo yanauzi sana.
Wamedesa kilakitu kutoka lile tangazo la maleria haikubaliki, ambako yule mwanadada anawahoji watu.Eti Wao ndo wakaona ni kipimo cha tangazo nzuri.

...Mkuu, kama ni kudesa basi hata Maleria haikubaliki nao walidesa maana miaka kama mitano ama sita nyuma tayari SimTank walikuwa na tangazo la SimNews ambapo binti mmoja alikuwa kipita akiwahoji wajenzi, wenye nyumba na kadhalika kuhusu matangi ya maji ya Simtank!
 
😡 haaa kumbe tunachukia wengi haya matangazo?
1.ni kama matangazo ya malaria "walipokua wanaongea kiinglishi"nilijiuliza,ivi ili tangazo ni maalum kwa wageni tu au nini ichi?ata kama limefadhiliwa na donors,mbona audience kubwa inayoathirika na ili na waswahili?anyway naona nao wameaza weka kiswahili.
2.kuna lile la malaria haikubaliki la bwana Mengi hahahahaaa
3.kuna lile la bwana zain-kiponde sijui yule mtangazaji wa radio ya
4.kuna lile la sippy soda
5.
 
Lile la Zain bin zaina mwanamke mjamzito akiliangalia tu uchungu unamkia fasta... hata leo asubuhi yule jamaa nilikua namskia kwenye matangazo gani tena hata sikumbuki ninachukumbuka ni swali nililojiuliza tu kwamba, hivi sauti yake ina utamu gani hadi apewe matangazo ya maana vile..
HATARI: Kwenye biashara huruhusiwi kumponda mwenzio...mfano, Zain wanataja kabisaa kwamba wao hawaongezi gharama kuanzia saa kumi na moja hadi saa nne usiku ( TIGO & VODA) na lile lingine kwamba " Kwanini uishi kwa mambo ya kale wakati bei ya sijui uppuzi gani tena.....


Tuandamane Wadau....
 
Maleria Haikubaliki - Mrisho Ngasa eti yeye ni mshambuliaji wa mpira....Daa! kazi ipo
 
ukweli yanaboa na sijui tatizo ni kukwepa garama au mana wandaaji wa matangazo naamini wapo
 
Back
Top Bottom