Tangazo la kazi alafu linahitaji waombaji waliooajiriwa

Tangazo la kazi alafu linahitaji waombaji waliooajiriwa

sulemoney

Member
Joined
May 3, 2024
Posts
85
Reaction score
74
Wakuu naomba kueleweshwa, nimekutana na baadhi ya matangazo ya kazi ambayo Yana kigezo kimojawapo cha muombaji kuwa ni mwajiriwa na aambatanishe barua yenye muhuri kutoka ofisi aliyoajiriwa.

Sasa nikajiuliza inamaana hawaoni wasiokuwa na ajira ni wengi mtaani? Ama hawaamini kupata mfanyakazi Bora katika wale wasio na ajira?

Sjapata majibu sahihi juu ya nini wanalenga naomba kueleweshwa wakuu.
Au Mimi ndio sjaelewa vizuri kwenye vigezo
Gallery_1735822414421.jpg
 
Hilo ni kawaida hufanya hyo kutokan na bajet au ku balance ikama
 
Back
Top Bottom