Tangazo la kazi alafu linahitaji waombaji waliooajiriwa

Tangazo la kazi alafu linahitaji waombaji waliooajiriwa

KIMENILAMBA WAJUBA WAKUU , NI TRANSFER WAZEE DAH ,HAYA MAMBO TUKIONA MATANGAZO TUNAKIMBILIA KWENYE QUALIFICATIONS TU ,NOMA SANA 🙃🙃🙃
 
Maelezo katika picha uliyoweka ni kwa watumishi wa umma wanao hitaji kuhama kutoka idara/taasisi moja kwenda nyingine serikalini
 
Liweke hapa wakulungwa wajaribu bahati ya kuhamia huko...
Ohoo kumbe kukosea kwangu kutokusoma maelezo ya juu kunaweza kuwa msaada kwa wengine, asee ngoja niliweke lote sasa maana na ninavyopenda kusaidia watu
 
Kuna waajiri hawataki kukuajiri akulipe mshahara ili akupe elimu sijui training ya mwaka mzima ili ujue kazi, wanataka ukiingia kazini unaleta matokeo na sio akulipe mshahara mpaka uzoee kazi.

Waajiri wameshajua elimu zetu ni za makaratasi. GPA ya mechanic kubwa mpe sasa hilo genereta afanye maintainance, analilipua so wanaona bora ambaye yupo kazini gharama ya kumtrain si kubwa.
 
Wakuu naomba kueleweshwa, nimekutana na baadhi ya matangazo ya kazi ambayo Yana kigezo kimojawapo cha muombaji kuwa ni mwajiriwa na aambatanishe barua yenye muhuri kutoka ofisi aliyoajiriwa.

Sasa nikajiuliza inamaana hawaoni wasiokuwa na ajira ni wengi mtaani? Ama hawaamini kupata mfanyakazi Bora katika wale wasio na ajira?

Sjapata majibu sahihi juu ya nini wanalenga naomba kueleweshwa wakuu.
Au Mimi ndio sjaelewa vizuri kwenye vigezo
View attachment 3190667
Transfer vaccancies not Job advert!
 
Kuna waajiri hawataki kukuajiri akulipe mshahara ili akupe elimu sijui training ya mwaka mzima ili ujue kazi, wanataka ukiingia kazini unaleta matokeo na sio akulipe mshahara mpaka uzoee kazi.

Waajiri wameshajua elimu zetu ni za makaratasi. GPA ya mechanic kubwa mpe sasa hilo genereta afanye maintainance, analilipua so wanaona bora ambaye yupo kazini gharama ya kumtrain si kubwa.
Unakuta taasisi ina uhitaji wa wafanyakazi lakini shida inakuja kuwa kupata kibali cha kuajiri inachukua muda mrefu kwa sababu lazima itengwe bajeti kwa ajili ya mchakato wa kuendeshe hizo process za kupata watumish wapya so unakuta kibali kinachelewa kwa sababu bajeti haijapangwa, ila nafasi za uhamisho zinatoka kwa sababu hazina gharama zozote zile ni mfanyakaz anaomba kuhamia taasisi nyingine bila malipo, ndio maana unakuta wanatanagaza nafas za uhamisho ili kuziba nafasi kwa wakati
 
Unakuta taasisi ina uhitaji wa wafanyakazi lakini shida inakuja kuwa kupata kibali cha kuajiri inachukua muda mrefu kwa sababu lazima itengwe bajeti kwa ajili ya mchakato wa kuendeshe hizo process za kupata watumish wapya so unakuta kibali kinachelewa kwa sababu bajeti haijapangwa, ila nafasi za uhamisho zinatoka kwa sababu hazina gharama zozote zile ni mfanyakaz anaomba kuhamia taasisi nyingine bila malipo, ndio maana unakuta wanatanagaza nafas za uhamisho ili kuziba nafasi kwa wakati
True.
 
Back
Top Bottom