Ukomo wa Akili zenu ni Chuki kwa Waarabu.
Wakiwakopesha na kuwapa misaada munanyoosha miko miwili na kupiga magoti.
wakiwaomba chenu kuwa wabia munaanza kuleta za kuleta, Nchi hii ina dhima kweli.
Wazungu wanachimba Madini kwa raha zao ,mumeufyata kimyaaaaa.
Mali yenu ya asili inasafishwa nyi nyi mpo mchan kweupe , sioni kutokwa na povu.
Kosa Mwarabu Kuwa mbia katika uendesha ji wa Bandari kila mjuaji anapaza sauti.
Nchi ya Majuha hiiiiiii!