Janjajanja akina arts tunadunda tu tunakwenda kutusua maana hatujameza madesaKule wanataka watu waliosoma na kuelewa. Siyo waliokariri.
Kila la kheri, uwakilishi mwema. Kapeperushe Bendera vyema!Janjajanja akina arts tunadunda tu tunakwenda kutusua maana hatujameza madesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekuwa marekani ningepata hii jamaniWatanzania tuchangamkie fursa hizi, wakenya wasije kuwapiga bao
FaizaFoxy
USSR
Maghayo
instanbul
Pascal Mayalla
Mshana Jr
OKW BOBAN SUNZU
FRANCIS DA DON
Msanii
Mpwayungu Village
Kaka yake shetani
UMUGHAKA
ChoiceVariable
View attachment 2716090
Asante Mkuu,Wasambazie ndugu waliopo huko, onesha upendo kwao!
Ipo siku utapata ingia ktk wavuti mbalimbali za ajira nje huko upate kuongeza Wigo wa fursa
Kila la kheri!
Hakuna tatizo!Asante Mkuu,
Kama unaweza nisaidia links, ABCs Maeneo ya kupita ntashukuru sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks for sharing Chillah [emoji173]Watanzania tuchangamkie fursa hizi, wakenya wasije kuwapiga bao
FaizaFoxy
USSR
Maghayo
instanbul
Pascal Mayalla
Mshana Jr
OKW BOBAN SUNZU
FRANCIS DA DON
Msanii
Mpwayungu Village
Bufa
Kaka yake shetani
UMUGHAKA
ChoiceVariable
View attachment 2716090
Dollar 4500 kwa mwezi si ndogo, kibongo ni karibia ubungeNingekuwa marekani ningepata hii jamani
Hela ndefu sanaDollar 4500 kwa mwezi si ndogo, kibongo ni karibia ubunge
Niwekee Mkuu, nizame kujaribu bahati yanguHakuna tatizo!
Wapo watanzania wana zigombania Au changamkia ktk taasisi mbalimbali za kimataifaHela ndefu sana
Ningefanya kwa malengo miaka yangu kadhaa