Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Wanabodi,
Naangalia Kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kipindi kinajadili Msiba wa Benjamin Mkapa.

Tangazo la Msiba lililotolewa na Rais Magufuli, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu imelaumiwa kwa kutokumsaidia rais kikamilifu kutoa tangazo hili, hali inayotafsiriwa kuwa katika baadhi ya matukio, Kurengenzi hiyo inahitaji kusaidiwa na manguli wazoefu ili waweze kumsaidia rais Magufuli katika baadhi ya matukio.

Manguli wa Mwanza, Dotto Bulendu, Edwin Soko na Moses Mathews, wamesema kwa vile hii ni shocking news, kulipaswa kuwepo kwa muda kidogo wa kumuandaa rais Magufuli kutoa tangazo hilo kulitangazia kuanzia, timing, dress code na content za tangazo lenyewe.


Timing
Kwa vile msiba umetokea usiku, kutoa tangazo saa 6:30 usiku was not the right timing kwa Watanzania, news ya msiba ingekuwa held, halafu Wahariri wakaitwa Ikulu usiku ule, halafu Tangazo litolewe live saa 12:00 asubuhi, rais akiwa na VP na PM.
TCRA kutoa taarifa vyombo vyote vya habari vya k electronic kujiunga na TBC ili hiyo live itangazwe Tanzania nzima.

Dress Code.
Kuna mavazi ya kawaida mtu anaweza kuvaa katika tukio lolote, lakini kuna dress code ya msiba. Wanasema rais Magufuli alipaswa kushauriwa kutoa tangazo hilo akiwa amevaa a proper dress code ya tangazo hilo.

Contents za Tangazo
Tangazo la msiba wa kiongozi wa kitaifa linaongozwa na sheria ya Vifo vya viongozi, sheria imeweka contents za kisheria ambazo lazima liwe na vitu 6, likianza na National Anthem na kumalizika na National Anthem.
  1. Jina la Kiongozi ni nani
  2. Kifo kimetokea lini
  3. Kifo kimetokea wapi nchini, mkoani, safarini, nje ya nchi
  4. Mahali mahsus, kimetokea nyumba, hospitalini, safarini,
  5. Kama ni hospitalini, hospitali gani
  6. Sababu za kifo, kimesababishwa na nini, maradhi, ajali, usingizini, etc
Tangazo la rais Magufuli kutangaza kifo cha Mkapa, lilikosa, baadhi ya taratibu za tangazo muhimu kama hilo ikiwemo wimbo wa taifa, na taarifa muhimu za kisheria, hivyo kuleta sintofahamu kwa jamii.

Hajawahi kusikika kuwa Benjamin Mkapa anasumbuliwa na maradhi yoyote, hivyo taarifa kuwa amefariki hospitali ni shocking, hospitali gani na ameumwa nini, ni maswali ambayo taarifa ya rais ilikosa.

My Take
Kwa vile taarifa ya msiba ni shocking news, flaws ndogo ndogo katika tangazo la msiba huo, zinavumilika.

Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu inafanya kazi nzuri katika upashanaji habari wa shughuli za rais, lakini lazima itenganishe matangazo ya kawaida ya rais kwa shughuli za kila siku za kazi za rais na tangazo la taifa, Watu wa Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas walipaswa kuhusishwa, na kwa vile mimi sio mserikali kujua nani alihusika, kama Dr. Abbas alihusika na bado tangazo la rais ndio lile, hii inamaanisha Dr. Abbas anaelemewa naye anahitaji kuwekewa wasaidizi.

Kwa maoni yangu, japo sheria inatamka tatangazo litolewe immediately kunapotokea msiba, kama msiba umetokea usiku wa baada ya saa 6:00, then alfajiri ni immediately kulikuwa hakuna uharaka wa kukimbilia kutangaza usiku mkubwa huo huo ili kutoa nafasi kwa rais kutangaza in a proper way na kufanya mashauriano na watu wawili watatu ili kutoa tangazo kamilifu kisheria, kikanuni na kiutaratibu na sio kumuharakisha rais kutangaza huku he looks sleepy!.

Namalizia kwa kutoa pole kwa Rais wa JMT, Dr. John Pombe Magufuli, Familia ya Mkapa na Watanzania kwa ujumla, kwa msiba huu mkubwa wa rais Mstaafu, Benjamin Mkapa.

Paskali

Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake!
Uzi uliotukuka
 
Wimbo wa taifa hauna kazi mbali na mpira.

Anyways wanasema acha wafu waliokufa katika Bwana maana matendo yao yaambatana nao,

hayo tuseme ndiyo matendo ya marehemu Ben yameambatana naye,

Na pengine wakaandika lililoandikwa limeandikwa, Ben aliisha andikiwa iwe hivyo according to his life performance,

Let God be God.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Naangalia Kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kipindi kinajadili Msiba wa Benjamin Mkapa.

Tangazo la Msiba lililotolewa na Rais Magufuli, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu imelaumiwa kwa kutokumsaidia rais kikamilifu kutoa tangazo hili, hali inayotafsiriwa kuwa katika baadhi ya matukio, Kurengenzi hiyo inahitaji kusaidiwa na manguli wazoefu ili waweze kumsaidia rais Magufuli katika baadhi ya matukio.

Manguli wa Mwanza, Dotto Bulendu, Edwin Soko na Moses Mathews, wamesema kwa vile hii ni shocking news, kulipaswa kuwepo kwa muda kidogo wa kumuandaa rais Magufuli kutoa tangazo hilo kulitangazia kuanzia, timing, dress code na content za tangazo lenyewe.


Timing
Kwa vile msiba umetokea usiku, kutoa tangazo saa 6:30 usiku was not the right timing kwa Watanzania, news ya msiba ingekuwa held, halafu Wahariri wakaitwa Ikulu usiku ule, halafu Tangazo litolewe live saa 12:00 asubuhi, rais akiwa na VP na PM.
TCRA kutoa taarifa vyombo vyote vya habari vya k electronic kujiunga na TBC ili hiyo live itangazwe Tanzania nzima.

Dress Code.
Kuna mavazi ya kawaida mtu anaweza kuvaa katika tukio lolote, lakini kuna dress code ya msiba. Wanasema rais Magufuli alipaswa kushauriwa kutoa tangazo hilo akiwa amevaa a proper dress code ya tangazo hilo.

Contents za Tangazo
Tangazo la msiba wa kiongozi wa kitaifa linaongozwa na sheria ya Vifo vya viongozi, sheria imeweka contents za kisheria ambazo lazima liwe na vitu 6, likianza na National Anthem na kumalizika na National Anthem.
  1. Jina la Kiongozi ni nani
  2. Kifo kimetokea lini
  3. Kifo kimetokea wapi nchini, mkoani, safarini, nje ya nchi
  4. Mahali mahsus, kimetokea nyumba, hospitalini, safarini,
  5. Kama ni hospitalini, hospitali gani
  6. Sababu za kifo, kimesababishwa na nini, maradhi, ajali, usingizini, etc
Tangazo la rais Magufuli kutangaza kifo cha Mkapa, lilikosa, baadhi ya taratibu za tangazo muhimu kama hilo ikiwemo wimbo wa taifa, na taarifa muhimu za kisheria, hivyo kuleta sintofahamu kwa jamii.

Hajawahi kusikika kuwa Benjamin Mkapa anasumbuliwa na maradhi yoyote, hivyo taarifa kuwa amefariki hospitali ni shocking, hospitali gani na ameumwa nini, ni maswali ambayo taarifa ya rais ilikosa.

My Take
Kwa vile taarifa ya msiba ni shocking news, flaws ndogo ndogo katika tangazo la msiba huo, zinavumilika.

Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu inafanya kazi nzuri katika upashanaji habari wa shughuli za rais, lakini lazima itenganishe matangazo ya kawaida ya rais kwa shughuli za kila siku za kazi za rais na tangazo la taifa, Watu wa Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas walipaswa kuhusishwa, na kwa vile mimi sio mserikali kujua nani alihusika, kama Dr. Abbas alihusika na bado tangazo la rais ndio lile, hii inamaanisha Dr. Abbas anaelemewa naye anahitaji kuwekewa wasaidizi.

Kwa maoni yangu, japo sheria inatamka tatangazo litolewe immediately kunapotokea msiba, kama msiba umetokea usiku wa baada ya saa 6:00, then alfajiri ni immediately kulikuwa hakuna uharaka wa kukimbilia kutangaza usiku mkubwa huo huo ili kutoa nafasi kwa rais kutangaza in a proper way na kufanya mashauriano na watu wawili watatu ili kutoa tangazo kamilifu kisheria, kikanuni na kiutaratibu na sio kumuharakisha rais kutangaza huku he looks sleepy!.

Namalizia kwa kutoa pole kwa Rais wa JMT, Dr. John Pombe Magufuli, Familia ya Mkapa na Watanzania kwa ujumla, kwa msiba huu mkubwa wa rais Mstaafu, Benjamin Mkapa.

Paskali

Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake!

Huku ndo kunakokufaa PASKALI UNAONA SASA UNAVYOTOA NONDO uharaka rule hata mm niliuona una walakini any way ishatokea KWA UPANDE MWINGINE ALITAKA TUAMKE NALO WAKULIA WALIE.......
 
Ile alisema kujipendekeza ndio kama hivi
Alipashwa na mpokea taarifa kuchukua muda kutafakari namna ya kufikisha ujumbe kwa WaTz
Huyu alikuwa ni Rais Kiongozi wa WaTz
Alipashwa kuhakiki Taarifa : Aliugua toka lini , Alilazwa wapi, chanzo cha kifo,

**Bado wanao muda wa kurekebisha mapungufu haya kabla ya siku ya mazishi Pascal Mayalla

Taarifa ilitolewa kama mjumbe wa kura za maoni ameaga
 
Wimbo wa taifa hauna kazi mbali na mpira.

Anyways wanasema acha wafu waliokufa katika Bwana maana matendo yao yaambatana nao,

hayo tuseme ndiyo matendo ya marehemu Ben yameambatana naye,

Na pengine wakaandika lililoandikwa limeandikwa, Ben aliisha andikiwa iwe hivyo according to his life performance,

Let God be God.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaani like tangazo ni kama yale ya matangazo ya vifo radio one au RTD ya zamani full stop
 
Raisi ni taasisi; na taasisi kwenye kutoa habari lazima izingatie namna gani habari yao itatafsiriwa.

Labda kwa waandishi wetu inaweza kuwa shida walichofanya ikulu.

Lakini kumuamsha raisi usiku ili tu atoe habari ya kifo cha aliekuwa kiongozi wa nchi in ‘real time’ yeye mwenyewe. Kwengine kote duniani symbolically Ikulu wameonyesha heshima kubwa na kuipa uzito wa kitaifa kifo cha Mkapa kwa watu aliowatumikia.

Hayo mengine story tu sijui sheria na namna Mkapa alivyotangaza kifo cha Nyerere; otherwise they did their best as far as those who can interpret the meaning of institutional reporting.
Taasisi ni watu, lazima wafuate miiko, tamaduni na sheria za nchi.
 
Tuweke kumbukumbu sawa usinilishe maneno ambayo sikuyaandika,sijabisha kuhusu swala la muda na nikasema hata ingelazimu tangazo litoke saa 8 usiku ni sawa tu shida yangu kwanini basi hospitali alipofia ifichwe? Na kimemsibu nini hadi kufariki(chanzo cha kifo) hizo ndio zilizofanya nilikosoe tangazo,kuna siri gani hapo? Je kulikuwa na ulazima wa kufanya siri mambo hayo? Bahati nzuri na wewe umenisaidia kunijibu kwamba kwa kuwa aliyekufa ni kiongozi uenda ingetajwa hospitali wananchi wangevamia kwa wingi hospitali na kwa kuwa ulinzi ulikuwa mdogo basi kungekuwa na hatari ya kuibiwa mwili wa kiongozi wetu mpendwa,mimi nimekuelewa.
Kama usivyotaka kuwekewa maneno na mimi usiniwekee maneno japo kuwa hitimisho langu kwao ilikuwa unaashiria usichosema.

Sijasema mkusanyiko wa watu unaweza sababisha watu kuondoka na maiti.

Nimesema moja ya sababu inaweza kuwa hakuna ulinzi wa crowd control, hospitali wagonjwa wa kila aina wanaingia 24 hours uwezi wacha umati ujae hadi getini ata mtu anaekimbizwa mahututi iwe tabu kumfikisha A&E akafia getini kisa waombolezaji; achilia usumbufu mwingine watakaopata wagonjwa waliolazwa watu wakiamua kuanza kuimba usiku wa manane.

Mambo kama hayo yanataka kupangiwa utaratibu kwanza.
 
Timing
Kwa vile msiba umetokea usiku, kutoa tangazo saa 6:30 usiku was not the right timing kwa Watanzania, news ya msiba ingekuwa held, halafu Wahariri wakaitwa Ikulu usiku ule, halafu Tangazo litolewe live saa 12:00 asubuhi, rais akiwa na VP na PM.


Kwenye zama za teknohama, huwezi kuchelewesha taarifa hadi asubuhi, ingekuwa ni aibu kwa Rais kuwahiwa kutoa taarifa na akina Kigogo.
 
Taasisi ni watu, lazima wafuate miiko, tamaduni na sheria za nchi.
Kuna kitu kinaitwa institutional reporting and narrative taratibu sio kigezo vile isipokuwa interface kati ya active institutional na audience.

Kwa ivyo kwa mtazamo wa Ikulu walichokifanya ni kuonyesha kiasi gani msiba umewagusa na ulimwengu utawaelewa kwa sababu habari yenyewe sio for local audience only but international too.

Hayo ndio kama malalamiko ya Ulimwengu kuhusu udikteta wa Mkapa uwezi kufanya kazi magazeti ya serikali kama unataka kuwa critic wa serikali; similarly uwezi kuandika kwenye gazette la WHO kama wewe unataka ku-promote mitishamba. Unapozuiwa kufanya ivyo na mhariri sio udikteta ni kwamba kazi yako aiendani na institutional narrative.
 
Kwenye zama za teknohama, huwezi kuchelewesha taarifa hadi asubuhi, ingekuwa ni aibu kwa Rais kuwahiwa kutoa taarifa na akina Kigogo.
Good point.

Ila, walau basi Rais angeisoma taarifa kwenye teleprompter.

Kwa nilivyoona, alichokitangaza kilikuwa kinatoka kichwani mwake. Hakuwa anasoma sehemu...

Na pia angeweza kuwa attired appropriately.
 
Si jambo la kushangaza sana lakini wakti mwingine tujitahidi kutofautisha msiba na harusi.Msiba wa kwanza wa kitaifa ulikuwa wa Karume na wakati ule Radio ilikuwa moja tu RTD na redio set zikiwa chache sana,sina kumbukumbu vizuri ilikuwaje.Msiba wa pili ni wa Sokoine,haukutangazwa mara moja ili zilipigwa nyimbo za kijeshi mfululizo mno na watu tukahisi labda serikali imeanguka.Kama hiyo haikutosha Sokoine alifia Morogoro lakini Nyerere hakuamini mpaka maiti ilivyopelekwa Ikulu.
Hili sidhani ni jambo kubwa sana kwani wangesubiri mpaka asubuhi wangeipa chat mitandao ya kijamii.
Kuhusu kifo cha Karume, nilikuwa mdogo lakini kichwani kiliingia kila kitu. Aliawa saa 12 jioni. Kifo chake kilitangazwa subuhi kesho yake saa 2.

Usiku ule kulikuwa na tangazo tu la hali ya dharula. Wazanzibari hawakuruhusiwa kutembea kuanzia saa 2 usiku. Vyombo vya usafiri vya anga na majini vilizuiwa kuingia au kutoka nje ya Zanzibar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha kama kawaida yenu watanzania wajuvi wa kuongea na kuandika!

Eti dressing code hahaha
Mara hajaandaliwa mara ooh sijui nini
Yote haya mtafute vya kukosoa hahah
Mnapenda misiba ya maigizo!
 
Back
Top Bottom