Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Good point.

Ila, walau basi Rais angeisoma taarifa kwenye teleprompter.

Kwa nilivyoona, alichokitangaza kilikuwa kinatoka kichwani mwake. Hakuwa anasoma sehemu...

Na pia angeweza kuwa attired appropriately.

Sina shida na hoja zingine za Pasco wa JF, nina shida tu na hiyo hoja moja ya kizama za kale - huwezi kuchelewesha hizi taarifa zama hizi, watu wanazinasa haraka sana kupitia ndugu, jamaa, marafiki na hata manesi na madokta pamoja na walinzi; tunaishi katika zama za papo kwa papo.
 
Umejitahidi japo bado umelenga uteuzi wako binafsi wkt umepata zero kura za maoni unataka kura moja ya rais.......

Endelea kupambania teuzi mkuu lazima zitakuhusu tu....
 
Hahaaaa.....umesahau kutaja CORONA mkuu.....hahaaa
 
Jakaya keshawaambia Marehemu alikuwa analalamika tumbo linamuuma....
 
Nasikia alifia nyumbani ghafla kwa changamoto ya upumuaji ndio maana haijatangazwa hospitali wala ugonjwa maana serikali hii ya kishetani inakataa kusema corona ipo
 
Kabisa bwana Paschal yaani imekuwa kama kutangaza kifo cha mmachinga huku rais akivalia kama anakwenda matembezi ufukweni. Lakini ndivyo mambo mengi yanavyoendeshwa awamu hii. Na pia mzee wetu naye mbishi sana hapendi kuambiwa kitu kwa ubishi huu yatamkuta mengi.
 
Mkuu inawezekana ikawa ni mtizamo wako, ila kwa namna ambavyo habari zinasambaa kwa haraka kipindi hiki bila kufanya maamuzi yaliyofanywa pengine leo tungekuwa na habari tofauti na hizi, (UMBEA , UZUSHI NA UZANDIKI WA KIBEBERU) nadhani tuwapongeze wote walio husika kwa tangazo lile. Kuhusu mavazi ya mzee kwa muda alio toa tangazo na mavazi aliyovaa vilikua vinaendana kabisa, ningeshangaa kama kwa muda ule angekuwa kwenye suti. NAWAPONGEZA SANA WASAIDIZI WA NDUGU RAIS KWA HATUA STAHIKI WALIZOZICHUKUA.
 
Huko kijijini kwenu ni sawa tu lakini sio kwa ustaarabu katika mambo ya kitaifa. Kuna kitu kinaitwa dress code...Hilo shati ni la kutembelea wakwe zake sio la kulitangazia taifa mambo mazito.
 
Huko kijijini kwenu ni sawa tu lakini sio kwa ustaarabu katika mambo ya kitaifa. Kuna kitu kinaitwa dress code...Hilo shati ni la kutembelea wakwe zake sio la kulitangazia taifa mambo mazito.
VILE UKIMUONA TRUMP KAVAA SUTI USIKU JUA KULE KWAO NI MCHANA NASISITIZA TU. TUSALIMIE SHITINDI
 
Mkapa alisema

1. Mwalimu amekufa kwa Kansa ya Damu
2. Hospital ya Saint Thomas
3. Mwalimu alizidiwa Usiku
4. Madaktari walimhamishia ICU
5. Jitihada za madaktari zilishindwa
6. Watanzania msiwe na hofu, wao wamerithishwa yote ya Mwalimu
7. Mwalimu atazikwa kwa heshma zote za DOLA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…