....na pengine "Jane" ndio alirekodi video kwa simu yake?Hata mm niliona kama hakujiandaa as if ametoka kugegedana chap akaibukia live kutangaza kifo.. Proper way ingekuwa SAA 12 ASUBUHI AKIWA SAMBAMBA NA VIONGOZI WAANDAMIZI WENGINE. ILE AMEKAA KWENYE SOFA LAKE LA CHUMBANI HAIKUWA SAWA.
NAUNGA MKONO HOJA.
Una uhakika gani hakuuliza? Je kama alichosema ndio alichoshauriwa unasemaje hapo? Kushindwa kijiuliza maswali kama haya pia ni ukosefu wa common sense.hivi kwa nini yeye Rais asiwe ndiye wa kwanza kuwauliza kabla wanaojua jinsi ya kutangaza jambo kama hilo?
ukiwa kiongozi, matumizi ya common sense ni first and foremost.
Ikulu imechemsha, Watanzania tuna haki ya kujua chanzo Cha kifo, tangazo limekaa kizuzumagic sana
Mbona alisema hospital Dar es salaamUnaweza kudhani aliamshwa usingizini na kuanza kutoa taarifa bila maandalizi yoyote! Nilishangaa sana kuona taarifa haitaji jina la Hosp.
RIP Mzee Mkapa
Ingewezekana kwan hospital kila nes anamuhudumia au kila dr maana kama kafariki ni kuwapiga stop wauguziKwa mitandao ya sasa, mida ya saa kumi na mbili asubuhi hiyo isingekua taarifa tena kwa umma maana nchi nzima saa saba au nane ingekua imeshajua! Labda hii ingekua tamko tu la rais ila sio taarifa!
Kuna mida codes tupa kule.
Kwani mfano yale anayoongeaha kwenye hotuba huwa yameandikwa kwenye hotuba.Uko sahihi kabisa Paskali. Jinsi Rais alivyokuwa na lile vazi, contents za tangazo kwa kweli lilikuwa linaboa. Rais anatakiwa kuifanyia usafi kurugenzi ya mawasiliano ikulu maana si mara ya kwanza kuchemka
Imefika mahali kila raia anataka awe mtu wa kwanza kutoa taarifa! Ingevuja tu taarifa mapema sana.ingewezekana kwan hospital kila nes anamuhudumia au kila dr maana kama kafariki ni kuwapiga stop wauguzi