Tangazo la Kupotea kwa Members wengine wa JF

Hicho sasa kingekuwa ni zaidi ya kiporo.
Nipo hapa napiga kiporo cha ugali wa jana, kiporo kinatoa kitambi na ni kizuri kinakaa sana tumboni[emoji1] [emoji1]
-ukila kiporo asubuhi ndo mpaka jioni hiyo unakula mkate tu bas.
-Napenda kiporo cha pilau nyama[emoji39] [emoji39]
 
Nipo na brother hance mtanashati tunakula bata[emoji1] [emoji1]
cc sakayo
cc iceman 3D (my brother)
cc mamaafacebook II (mjukuu wangu)
Yaani wewe, heri ya mwaka mpya ndugu!! Sio vizuri kidogo tuanze kupita na mabango
 
Umemuona supermarket lakinii, Nashukuru kwa jitihada zako
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Daah!! Jamaa kanitoa jasho huyu halafu ana kuja na msg simple tu
Eti nipo!
Hatari kweli
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wameenda kumtafuta kijana wa mbowe saa tisa
 
Nipo hapa napiga kiporo cha ugali wa jana, kiporo kinatoa kitambi na ni kizuri kinakaa sana tumboni[emoji1] [emoji1]
-ukila kiporo asubuhi ndo mpaka jioni hiyo unakula mkate tu bas.
-Napenda kiporo cha pilau nyama[emoji39] [emoji39]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Kweli shikamoo januari, tutasifia hadi mwarobaini.
 
Vipi kuhusu ndugu yangu "MwanaDiwani" naye baada ya uchaguzi kapotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…