Tangazo la Kutafta Kazi ya Graphics Designing or ICT Solutions

Tangazo la Kutafta Kazi ya Graphics Designing or ICT Solutions

Unaongea Sana mkuu hakuna msingi katika elimu ya Tanzania unaompa namna ya kujua masoko kwa kazi hizo. Ingekuwa hivyo asingeomba ushauri.


Kitu kinachowafanya wabongo kwa kozi za IT na multimedia kuomba kazi ni mtaji, wewe unadhani ukishakuwa graphics utaishi kwa kazi za mtandaoni Tu? Wanaweza hivyo tayari washa side hustle sasa unakuta mtu kama huyu ana ujuzi ila hawezi kujiuza kwa sababu kunahitaji pesa na yeye ndo anatafuta.



Mimi huwa nashauri MTU kulingana na elimu ya Tz ajiriwa Kwanza upate kujua kazi hiyo linaendeshwaje pia ma wakati huo unajikusanya jamaa Hana makosa kama mna nafasi ya kazi mpeni mnafikiri mambo ni Rahisi?


Mwingine anasema awe freelancer utadhani ni simple.

Ushawahi jiuliza MTU ana big profile lakini Hana client? Tatizo nini?


Kuna road map lazima aipitie huyu Jamaal mpaka atobo

Dogo popote ulipo tafuta kanisa kubwa la hawa ma-apostles nenda na sample ya design zako utapata kazi chap maana huwa wanatafuta watu wa design/media na wanalipa fresh tu. Kikubwa ujue na video pia..ila hata kama hujui video nenda maana video wengi wanajua ila graphics ndo kipengele
Sawa nimepokea comment ako bro
 
Unaongea Sana mkuu hakuna msingi katika elimu ya Tanzania unaompa namna ya kujua masoko kwa kazi hizo. Ingekuwa hivyo asingeomba ushauri.


Kitu kinachowafanya wabongo kwa kozi za IT na multimedia kuomba kazi ni mtaji, wewe unadhani ukishakuwa graphics utaishi kwa kazi za mtandaoni Tu? Wanaweza hivyo tayari washa side hustle sasa unakuta mtu kama huyu ana ujuzi ila hawezi kujiuza kwa sababu kunahitaji pesa na yeye ndo anatafuta.



Mimi huwa nashauri MTU kulingana na elimu ya Tz ajiriwa Kwanza upate kujua kazi hiyo linaendeshwaje pia ma wakati huo unajikusanya jamaa Hana makosa kama mna nafasi ya kazi mpeni mnafikiri mambo ni Rahisi?


Mwingine anasema awe freelancer utadhani ni simple.

Ushawahi jiuliza MTU ana big profile lakini Hana client? Tatizo nini?


Kuna road map lazima aipitie huyu Jamaal mpaka atoboe.
Brother ulichojibu ndivyo ilivyo kwa background mambo ni mengi but all in all kinachotaftwa ni mtaji hela upatikane kwa kufanya Kazi kwenye Ofisi za watu/Freelancing au Vinginevyo mtaji Ujuzi somehow ninao, naendelea kupokea ushauri wenu/maoni. Ahsante
 
Kama unahitaji logo kali kwaajili ya biashara yako basi usikose kupitia hapa ili uchague zipo design mbalimbali za logo:
 
Back
Top Bottom