The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Sukuma gang waendeleee kuponda tenaKatibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Makatibu Wakuu wa Wizara, Watendaji Wakuu wa Idara Zinazojitegemea, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakurugenzi wa Halmashauri za Jiji/Manispaa/Miji na Wilaya anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi Elfu moja mia tisa na nne (1904) kama ilivyoainishwa katika tangazo hili.
Waachie wenzako ambao nimajoblessDaah,
Kuacha Private Organization yenye mshahara wa 1.2 na kuja huko nyumbani kwa Mama inahitaji moyo mkuu
Anapatikana wapi huyo mtaalamu mkuu?Ni gundu au ni nini mkuu? Njoo nikupeleke kwa mtaalamu ukaogeshwe
Hivi shida huwa ni nini hapo?Wewe afadhali uko hatua kadhaa, wengine ajira portal inasema FAILED wakati profile iko full charge
Weka tu kila mtu amtafute mambo ni magumu kila konaNi gundu au ni nini mkuu? Njoo nikupeleke kwa mtaalamu ukaogeshwe
Sijui mkuu, mwenyewe naendelea kukuna kichwa hapa.Hivi shida huwa ni nini hapo?
Nina tatizo kama lako mwaka wa tatu huu.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Kilio tupu mkuujman kwenu ajira portal inakubali ?
Nafasi 1904.
Na hakuna sehemu naweza apply.
Kuna Ile nyongeza ya mshahara inayokuwa inaongezwa kwenye hiyo 700k na kifika kwenye 800k+ au mimi sijaelewa vizuri mkuu ?
- Hizi Kazi zote TGS D LAKI 7
- Kazi yenye 'angalau' mshahara mkubwa ni Daktari wa Mifugo anaenza na TGS F,
- Wenye Nafasi ya kupiga Pesa ni Mawakili kwa sababu wanaweza wakawa wanafanya Kazi binafsi Kwa Siri huku na serikali, na CPA (T) unaweza ukafungua kiofisi au Ukawa unasaidia Watu kutengeneza Hesabu zao ukapiga kipato cha ziada Tena kingi, lakini AFISA Utumishi ni mshahara tu na makaratasi
Kweli mkuu hata mimi nimesikitika Sana ,kwa nini wahandishi hawaajiriwi?Daah maengineer hii nchi tunakazi sana but lets wait and see.
The end justifies the means.
Kule Dodoma interview hawawez nizingua kwenye kuhakiki vyetKama unadiploma yake ipo kazi ya maafisa ustaw wa jamii imetangazwa lakini pia omba zile za CAG
AWewe ni potential Sana Basi tu mkuu. Yaani nchi hii ama wenyewe tunashindwa kuwa katika nafasi sahihi. Si ndio nyie ma actuaries science ama sio?
It pain me. Kuna kitu Ila inahitaji burning desire to achieve it Kama yai yai ni kazi sana.yaani elimu mie naiona ni nzuri Ila Kama ukiitumia wewe individual unafika mbali Sana Tena Sana. Kama daktari akifungua hospital yake sio sawa na aliyeajiliwa. Elimu sio mbaya sema ubaya wetu ni umasikini ulioko kwenye ubongo wetu I e mentality yetu.
Can you work in insurance companies.isnt it
Inatengemea huyo Daktari wa mifungo(Veterinary medicine) ameajiriwa wapi lakini kama ataajiriwa TANAPA, TRA haoni ndaniWeka na Gap la mshahara wa Daktari na Afisa wa TRA (wote wana shahada.)
Uko org gani mkuu?
Mi nasikia Pale GGM miner anakula Almost 3m Tsh
Nafasi ikitokea unaondoka tu huko Private, siwezi kuangalia maslahi pasipo job security.
Hili tatzo limenipata Mimi, Yani kwenye tangazo la kazi sifa zilizoorodheshwa zote ninazo na zinaendana na zilizopo kwenye profile yangu, ila nikiclick apply inanambia FAILEDWewe afadhali uko hatua kadhaa, wengine ajira portal inasema FAILED wakati profile iko full charge