Tangazo la nafasi za Kazi 1,904 kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

Tangazo la nafasi za Kazi 1,904 kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Makatibu Wakuu wa Wizara, Watendaji Wakuu wa Idara Zinazojitegemea, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakurugenzi wa Halmashauri za Jiji/Manispaa/Miji na Wilaya anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi Elfu moja mia tisa na nne (1904) kama ilivyoainishwa katika tangazo hili.
Sukuma gang waendeleee kuponda tena
 
Kwani si
  • Hizi Kazi zote TGS D LAKI 7
  • Kazi yenye 'angalau' mshahara mkubwa ni Daktari wa Mifugo anaenza na TGS F,
  • Wenye Nafasi ya kupiga Pesa ni Mawakili kwa sababu wanaweza wakawa wanafanya Kazi binafsi Kwa Siri huku na serikali, na CPA (T) unaweza ukafungua kiofisi au Ukawa unasaidia Watu kutengeneza Hesabu zao ukapiga kipato cha ziada Tena kingi, lakini AFISA Utumishi ni mshahara tu na makaratasi
Kuna Ile nyongeza ya mshahara inayokuwa inaongezwa kwenye hiyo 700k na kifika kwenye 800k+ au mimi sijaelewa vizuri mkuu ?
 
Daah maengineer hii nchi tunakazi sana but lets wait and see.

The end justifies the means.
Kweli mkuu hata mimi nimesikitika Sana ,kwa nini wahandishi hawaajiriwi?

Ila stay tuned wako mbioni wanakuja hasa agro 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220529-091550.png
    Screenshot_20220529-091550.png
    48.7 KB · Views: 43
Yes sis ni wa actuaries pia naweza kufanya kwenye insurance company sema ndo ivo broo
Wewe ni potential Sana Basi tu mkuu. Yaani nchi hii ama wenyewe tunashindwa kuwa katika nafasi sahihi. Si ndio nyie ma actuaries science ama sio?
It pain me. Kuna kitu Ila inahitaji burning desire to achieve it Kama yai yai ni kazi sana.yaani elimu mie naiona ni nzuri Ila Kama ukiitumia wewe individual unafika mbali Sana Tena Sana. Kama daktari akifungua hospital yake sio sawa na aliyeajiliwa. Elimu sio mbaya sema ubaya wetu ni umasikini ulioko kwenye ubongo wetu I e mentality yetu.
Can you work in insurance companies.isnt it
A
 
Uko org gani mkuu?

Niko kwenye NGO Mkuu,

Ila huku sio kwa kukimbilia wala kutamania sana kuliko serikalini, job stability and assurance ni asilimia 40/100.

Binafsi natamani nitoke huku niende gov walau walau hata kwa hii miaka michache niliyobakiza.

Serikalini privilege na security ni nyingi sana, I got experience from my colleagues.
 
Wewe afadhali uko hatua kadhaa, wengine ajira portal inasema FAILED wakati profile iko full charge
Hili tatzo limenipata Mimi, Yani kwenye tangazo la kazi sifa zilizoorodheshwa zote ninazo na zinaendana na zilizopo kwenye profile yangu, ila nikiclick apply inanambia FAILED

Sijui shida ni nini
 
Back
Top Bottom