Tangazo la uchumba

Status
Not open for further replies.
Asante sana na hii ni mara ya tatu tumefanikiwa kuwaunganisha watu hapa JF na ndoa zao ziko kwenye afya nzuri
 
Taarifa rasmi... Hatimaye aliyejitokeza wa kwanza amekidhi vigezo na mchakato wa kufahamiana unaenda vizuri... Mawasiliano yamefanyika kwa simu.. Asante sana kwa wote mlioshiriki
Moderator, JamiiForums naomba uzi ufungwe rasmi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…