Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 180
Hapa ni $ 300 hahahahahaha mambo mengine bwana nitaenda jimboni kwake na huu upupu!
anagombea jimbo gani?Maslahi ya Taifa Mbele hasa Kipindi hiki kuelekea uchaguzi Mkuu...FMES ulikuwa utatafuta pesa za kampeni ama?
anagombea jimbo gani?
Inasemekana lile la ukoo, Mtera
He!he!he!heeeee! naona sasa umeamua ufungulie kuku kwenye mtama......!
Nina Mwamvuli hapa akileta mvua zake nasepa!
Kaka,
Unajua unamwaga mboga? Ila namchizi anajifanya machinou sana......khaah, anaweza sema NL tulichunga naye mbuzi kule Ununio....ha!ha!aaa!
Inasemekana lile la ukoo, Mtera
Wow!
Mbona mzee 'mwenye jimbo' hajatangaza kustaafu!
Vuta subira atakuja jibu hapa!
- Wakuu wote JF, bila kumbagua yoyote nina rafiki wa kike wa kizungu anayefanya kazi kwenye mradi mmoja ambao ukitimiza msharti yake ambayo sio magumu sana, basi wanakupatia viza ya miaka mitano kwenda nchi moja majuu kufanya kazi, ni kwa professional mbali mbali na hata kwa wasio na professional wanakubalika,
- Ameniambia the goal ni matajiri flani hivi wa kizungu wanajaribu kuwasaidia watu kutoka nchi masikini, sasa naomba kusema hivi hapa JF wanaingia hata mabalozi mengi ya majuu bongo kila siku, kwa hiyo siwezi kuweka yote hapa wazi, lakini sina tatizo kumsaidia yoyote yule mwenye kuhitaji huu msaaada mradi tu msaidiwa awe bongo, na kuna fee ya dola mia tatu, mimi sifanyi lolote zaidi tu ya kuhakikisha kwamba una pass na unataka msaada, ninaku-connect una-deal nao mwenyewe, lakini ni lazima unifahamishe ili nimfahamishe huyu dada, aifuatilie fomu yako.
Tuwasiliane kwenye PM, au mtuwameli@yahoo.com. Mods na Utawala naomba muipe nafasi kidogo hapa ingawa sio pake, ili iwafikie ndugu zangu walalahoi, unajua sisi mabaharia huwa ni watu wa kusaidiana sana kwa sababu tusingefikia hapa tulipo bila kusaidiwa na wengine, na huwa hatusahau tulikotoa au kusahau wengine wenye shida.
Ahsanteni Wakuu.
Field Marshall Es, wazee wa sauti ya umeme!
HUU NI WIZI; matajiri wanataka kusaidia then wanataka dola 300 za nini? kwa nini wasikupe tu; ni mradi huu naujua na watu wengi wamelizwa
FMES hatuhitaji facts kamanda hapa hili si dili unavyoendelea kukomaa unashusha credibility yako hakuna cha watu uliosaidia wala nini hii scam kuwa mkweli ulipotoka waungwana tutaelewa sasa unapokomaa na issue iko wazi hahahahahah unamdanganya nani mkuu?
Respect
FMES wakati mwingine bwana unakomaa bure ile ni scam haihitaji uwe mnajimu kujua ukweli, hizo za watu uliwasaidia hakuna ukweli na wewe unajua...kama unataka kuwa mwanasiasa achana na uongo maandishi yako yatasimama siku moja!
Alamsiki
ni lazima uwe na ma-paper ya ukimbizi ambayo ambayo ni ya mazishi kutoka bongo