Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

Status
Not open for further replies.
- ila one thing maelezo zaidi sina tena, nimemaliza na kama nilivyosema, nimeamua kuanza na kumsaidia ndugu yangu mwenyewe ambaye nitamlipia, na washikaji wawili wengine.

Respect and See yah!

FMEs!
mkuu mbona hujanijibu PM?

ila kusema ukweli mkuu fms hili deal ni famba AKA halifai.....niliku PM ili unipe details zaidi maana mie nilikuwa tayari kutoa mnyamwezi 300 nikale life majuu....
ila sasa nina mashaka....hivi jamani eti hii organisation hata kuwa na website haiwezi angalia wanatumia 4t.com domain ambayo ni free..

http://www-craigslistfoundation-4t-com/

alafu sasa ingia kuwenye website yao ndio utakuta vichekesho utajaji mwenyewe
bwa ha ha ha ha FMES utaliwa vijisenti vyako yaani mkuu na ubaharia woote hukustukia hili kuwa ni famba AKA dili la kichina?
wakuu achanneni na utapeli huu
 
bwana fmes hili dili ni fake mie sio IT specialist lakini kwa knowledge yangu ndogo naona ni changa la macho.....hawa unao waona woote ni fake....
sio ajabu kama ungekuwa unaelewa hebu soma zile link wameziweka watu humu za fraudwatcher....

anyway organisation ya craigs list orijino sio hawa wanaootumia 4t.com try ku muuliza huyo rafiki yako wa kizungu.....orijale ni hawa


http://www-craigslistfoundation-org/ na mission yao ni tofauti na hao matapeli
wana twitter,facebook na blog haw sio matapeli na hawaombi $300 ili uende majuu....mission yao ni tofauti na hao wa 4t.com ambao goal yao ni

angalia na email yao gmail bwa ha ha ha ha

sasa fmes usiwe mkali kwenye hii issue kabla hujaingia mkenge kumsaidia ndugu yako fuata wanaJF wanvyokuambia....hili ni la fake
 
- Mud mfupi ujao nitakuwa njiani kwenda huko, kama nilivyosema ninaanza na ndugu yangu kwanza nione mwanzo na mwisho wa hii kitu, kama wewe umeshitukia mimi bado just simple as that ndio maana ninaruka huko chini leo usiku.

- Hakuna ugomvi wala vita hapa, naona wengine mnataka kuugeuza huu m-deal kama vile ni vita, hapana mimi ninaenda kumchokonoa simba sharubu mwenyewe na mpaka nitakapomaliza ku-deal na ndugu yangu na wenziwe wawili, ndio nitatoa info zaidi, kama hii deal ni real, au mazishi na nitasema wazi hapa JF,

- Ila for now bado ninaamini kwamba hili deal lipo na nitaanza na watu wangu mwenyewe wanaonihusu yaani ninaanza na mtoto wa mama yangu mdogo, kwanza ili kuepusha wengine kama ni mazishi, wengine tuvute subira.

- Mkulu yoyo ustaarabu ni kitu cha bure kwenye maisha, nimeomba sana kwamba hii kitu isiwekwe hapa kwa sababu nyingi sana za msingi na mbali mbali zinazoweza kuwavurugia wanaotaka kujaribu, ungeweza kuni-PM tu mkuu, ulichokifanya sio ustaarabu mkuu. Ninaomba nikukumbushe tu kwamba ninaye mshikaji aliyerushwa toka bongo yeye na watoto wake, amepewa nyumba na kazi nimejaribu sana for the last two years kumdadisi aliwazaje, lakini alikuwa akigoma kuniambia ni sasa ndio ameanza kukubali kusema, ndio maana ninashuka huko ndugu yangu, sijampa mtu dola mia tatu na siwezi kukurupuka tu kama kichaa on that, na sitegemei kwa mwingine yoyote kufanya something like that, ila one thing ni siwezi kupiga piga kelele bila ya kujaribu kwanza kufuata maelezo yaliyotolewa na wahusika.

yoyo huku PM nina findings nyingi sana zilizofanywa na wananchi mbali mbali kuhusiana na hii ishu, ninawashukuru sana kwa ustarabu wao, kuna positive na negative so far bado positive ni nyingi zaidi kuliko the ostherside, ndio maana nimeamua wkenda mwenyewe, eti hao wazungu wanaweza kujiweka sura zao kwenye kitu cha utapeli, please! sikuzaliwa jana mkuu.

Later!

FMEs!
 

- More respect mkuu, tupo pamoja mkuu yaani kujaribisha kwanza na kujionea mwenyewe.

Respect.

FMEs!
 
respect kamanda fmes....mkuu sijaweka mi ni wewe ndio uliweka picha hapa....kwa mtu wa kawaida mwenye kujua a e i o u ya comp anaweza kujua source ya picha ni ipi ndio mie layman nilivyofanya......
maana nimeamua wkenda mwenyewe, eti hao wazungu wanaweza kujiweka sura zao kwenye kitu cha utapeli, please! sikuzaliwa jana mkuu.

Later!

FMEs!
lolz.......
 

ndugu kuna kitu inaonekana hukielewi kuhusu hao watu au the whole Internet security thing.Umeshawahi kusikia kitu kinaitwa Identity Theft?hicho ndiyo source za hizo picha za hao "wazungu".hao matapeli kabla hawajaset huu utapeli wao wa leo before walitrick naive people to send them their sensitive informations like copy of drivers licence,copy of passports,pictures,etc.so,that is the only reason for the existence of the pictures you see.probably the real personalities behind the photos have no IDEA they are being abused.a good reason IT industry is spending Billions to protect people's identities Online.

hamna takayekukataza kama ukiamua ku-apply,Lakini kumbuka kuwa hao wanao-apply wanatoa "something" more Valuable to the ID thieves than the mere $300.They gain their ID.all those long forms they are going to make you sign will forever remain with them,giving them unlimited usage of your IDENTITY.one day utaiona sura na detail ya mtu unayemfahamu huko ndio utaelewa labda.

so,this is the good reason to refrain providing personal information until unprecedented proof is seen that they are not fraudsters,and so far it doesn't look good to the trained eyes.

huna haja ya kukasirika na ku-"yell" all over the boards we already know you are a "baharia" and we applaud you for that,without a need for a reminder every other 3 posts.
 
ila labda
- Bwa! ha! ha! Call me sikio la kufa, sasa nipo Airport kuelekea huko bondeni, ninaenda kuwasajili ndugu yangu mmoja na mabaharia wenzangu wawili. Ili kuepusha wengine msiibiwe dola 300 au kuibiwa ID, na kuishia kuwekwa kwenye web kama hao wazungu bila ya wenyewe kujua, na haya yanafanyika majuu!

Ahsante ndugu great thinker! ila labda na mimi sihitaji reminders zako za kila post kwa ID tofauti, kwamba huu mradi ni wizi, wakati mpaka sasa bado unahangaika na facts, otherwise have a nice day mkuu, mimi niko njiani kuelekea!

Respect.

FMES!
 


"And ....... whose regulations requires that Aliens seeking to enter the .... on basis of employment must obtain the ...... labour certificate, which will enable alien to work legally in the ........

The .......... lawyers file in an application on behalf of the individual alien or applicant to the..... and the ..... respectively. The actual admission of the alien and the granting of the authorization to work in the ..... is the responsibility of ......
The handling of documents processing by the ..... lawyers Refugees immigration lawyers has made the processing of all documents of all applicants very effective and acceptable.

When the processing of entry visa is completed, we will forward confirmation of the authorized visa by fax to the embassy at the person's/group's home country and the same copy will also be forwarded to the applicants."
 
huyu jamaa yeye anadhani kila mtu ana-multiple ID's.inachosha.fikiria unavyotaka,ila usizuie wengine kufikiria.hamna aliyekataa initiative yako.people needs more proof,and thats it kama wewe unafikiri ni mtu mmoja amekaa kujibishana na wewe then you are wrong.

umeleta picha zao watu wame-read btn the lines na kugundua kuwa jamaa wanahost kwenye free servers.kilichobaki ni wewe kuendelea na moyo wako mkunjufu kwao.kama wengine mioyo yao haija-funguka then jua kuna tatizo.

people in TZ have always wanted to go abroad "kupata mafanikio".Now they are only smarter.

informations that costed thousands of dollars 20 years ago are available for free for everyone to share and benefit through open collaboration,and different web 2 platforms.

usigeuke kutazama kivuli chako ndugu,no one is behind you.it is just your shadow.

wasalimie "matajiri"!
 
- Nimeshafika tayari toka jana, kujionea mwenyewe na nipo na my friend tayari huyu sister.

Respect.

FMEs.
 
Hivi jamani unaogopa kutoa Dola 300 wakati mnahonga na kunywa mapombe zaidi ya 300 kwa wiki? vitu vingine huwa siulizi mara mbili, mie niweke potelea pote ikiliwa basi.

Mkubwa na mie niweke kwenye hiyo list na nitalipa cash, mnaogopa kutapeliwa endeleeni.
 
unajua huyu bwana hata kama ni baharia na kasafiri muda mrefu, lakini anaonekana ni mgeni wa haya mambo ya fraud na vitu kama hivyo, kwa sababu alivyoileta hii mada kwa mara ya kwanza na hata mpaka sasa anaonekana kana kwamba anahuakika kwa asilimia zaidi ya 100, lakini ni ukweli uliowazi tu huu ni utapeli wa kimataifa, ni utapeli ambao unahusisha document na vishawishi vingine ambavyo wewe kama ni mvivu kidogo wa kufikiri unaingia kichwakichwa
bwana FMES, tafadhali usiwe unachukulia kila kitu unachopewa na mzungu ni cha ukweli hata kama ni rafiki yako, tumia kicha chako kupambanua mambo, nadhani utakuja na jibu ambalo wachangiaji almost wote walikuwa wakiliona
 
Inavyoonyesha kwenye hiyo barua ya huyo dada, pale walipoweka dot kulikuwa na information. sasa mkuu kama husemi ni nchi gani tutanaanzaje kuraise fund ili watu waelewe. Isijekuwa unapeleka angola kulipua mabomu mwe! give us full info kama alivyosema anataka kusaidia watu, USD 300 siyo ishu, cha muhimu tujue nchi gani. nchi zingine noma haziendeki bora ukae bongo.
 


Sasa na wewe unapost ili usifiwe au vipi?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…