- Mud mfupi ujao nitakuwa njiani kwenda huko, kama nilivyosema ninaanza na ndugu yangu kwanza nione mwanzo na mwisho wa hii kitu, kama wewe umeshitukia mimi bado just simple as that ndio maana ninaruka huko chini leo usiku.
- Hakuna ugomvi wala vita hapa, naona wengine mnataka kuugeuza huu m-deal kama vile ni vita, hapana mimi ninaenda kumchokonoa simba sharubu mwenyewe na mpaka nitakapomaliza ku-deal na ndugu yangu na wenziwe wawili, ndio nitatoa info zaidi, kama hii deal ni real, au mazishi na nitasema wazi hapa JF,
- Ila for now bado ninaamini kwamba hili deal lipo na nitaanza na watu wangu mwenyewe wanaonihusu yaani ninaanza na mtoto wa mama yangu mdogo, kwanza ili kuepusha wengine kama ni mazishi, wengine tuvute subira.
- Mkulu yoyo ustaarabu ni kitu cha bure kwenye maisha, nimeomba sana kwamba hii kitu isiwekwe hapa kwa sababu nyingi sana za msingi na mbali mbali zinazoweza kuwavurugia wanaotaka kujaribu, ungeweza kuni-PM tu mkuu, ulichokifanya sio ustaarabu mkuu. Ninaomba nikukumbushe tu kwamba ninaye mshikaji aliyerushwa toka bongo yeye na watoto wake, amepewa nyumba na kazi nimejaribu sana for the last two years kumdadisi aliwazaje, lakini alikuwa akigoma kuniambia ni sasa ndio ameanza kukubali kusema, ndio maana ninashuka huko ndugu yangu, sijampa mtu dola mia tatu na siwezi kukurupuka tu kama kichaa on that, na sitegemei kwa mwingine yoyote kufanya something like that, ila one thing ni siwezi kupiga piga kelele bila ya kujaribu kwanza kufuata maelezo yaliyotolewa na wahusika.
yoyo huku PM nina findings nyingi sana zilizofanywa na wananchi mbali mbali kuhusiana na hii ishu, ninawashukuru sana kwa ustarabu wao, kuna positive na negative so far bado positive ni nyingi zaidi kuliko the ostherside, ndio maana nimeamua wkenda mwenyewe, eti hao wazungu wanaweza kujiweka sura zao kwenye kitu cha utapeli, please! sikuzaliwa jana mkuu.
Later!
FMEs!