Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imetulia kwa imani,unajua wasio na kazi au walionazo lakini bado wanataka zaidi wainue mapata watafuatilia hii kitu lakini iwe makini manake usd 300 mtaji mzuri tu kwa wamachinga kwa nyumbani Tanzania, wenye kutaka wapeni uwanja waserebuke.!
Hiyo inaweza kuwa scam. Ingekuwa vyema ukaweka contacts za huyo rafiki yako hapa ili wenye kutaka kuwasiliana nae wafanye hivyo direct.
Naogopa biashara yenye mtu wa kati na kupigiwa mapande mapande.
- So far so good, kwa wale mnaohangaika kunitumia E-mail ili niwape info, nimesema hivi kwa sasa mpaka hawa watu wangu watatu watakapopita ndio nitasema, ila for now sina mpango wa kutoa anymore info ingawa ninazo zote na nimeshaanza kuzifanyia kaazi,
- Samahani kwa usumbufu, I know the frustrations na emotions lakini subira yavuta heri, siwezi kuwaharibia ndugu zangu kwa kutoa ainfo zaidi, lakini so far so good na tuwe na subira kidogo. Hizo kelele za milango hazinizuzii kualala
Respect.
FMEs!
Na yule mtaalam wako wa IT, Vipi huna mpango wa kumleta hapa atuletee findings zake?
Masanilo, vipi matokeo ya PM yako kwa mkuu SHY?
ninamuaminia sana na mambo ya IT huenda ni the best Tanzania nzima!
Teh teh teh Shy best Tanzania....haya ni matusi
- Unaona sasa mkuu unaanza kuwa mganga wa kienyeji badala ya great thinker! Ningekua nimeshituka nisingelipa dola 900! Hela zinaliwaje kabla hazijaliwa?
Respect.
FMEs!
- Moja ya masharti makubwa ya siasa za ubepari tunazozfuata Tanzania sasa hivi ni pamoja na kuheshimu vipaji vya members wa society ambavyo wewe huna!
Respect.
FMEs!
Umelipa umeliwa. Period.
- Assumption! Ukienda kwenye Michuzi Blog, kuna tanagazo la bash la nyc, kwenye comments kuna mtu mmoja ametoa comments na jina lake, huyo ni mmoja wa washikaji ninaowajua walioenda US na hii kitu, kwa hiyo aliyeliwa hapa labda ni wewe ndugu yangu na hizi assumption zako ambazo ni blind kwa kukosa more info na facts, pole sana unajua shibe ni mwana malevya umeshiba kidogo tu basi umeshakuwa full of negative assumptions maana wewe sasa umeenda Europe na umepata mwenye njaa shauri yake, acha hizo!
- !
Respect.
FMEs!
Nipo hapa Bongo naganga njaa tu rafiki yangu. Tatizo unayemdhania kuwa mimi siye. Anyway, I'll only be too happy to be proved wrong!! This is my wish.
Field Marshal acha usanii, kwenye hili umeshachemsha na umeshashtukiwa. Tuliza mpira ndugu asiyekubali kushindwa si mshindani.
- Tanzania sio Bronx mkuu, nimekuambia punguza negative assumptions on thibgs you do not know, au unataka tuongelee ya utapeli mimi na wewe! Bwa! ha! ha! patatosha kweli hapa! Bwa! ha! Unahangaika bure mkuu na hizo multiple IDs, huwezi accomplish anything, tunajaribu kusaidia wananchi wenye shida, wewe huna sasa kaa pembeni, waachie wenye shida.
Respect.
FMEs!
- Tuliza kitenesi na assumptions, vipi hakuna jipya zaidi ya hizi za kawaida? I see i am having a lot of fun maana hizi zako ndio tunaita a starved information society, ndio maana wanaohusika na kujua huwa wanapeleka ndugu zao tu!
- angalia usije ukawa umejishitukia mwenyewe kwa kukosa info, Bwa! ha! ha! mimi ni msanii kuliko wewe, vipi ya magari ya Canada? Bwa! ha! ha!
Respect, anyways later!.
FMEs!
Na mimi wanijua? wewe nadhani ni mwalimu wa usanii au tuseme mission town uliyebobea.
- Huwezi kuwa msanii kabla ya kuibia watu kwanza hela za gari, sounds familiar au? na kudai kampuni ya Mike ya biodiesel kuwa ni yangu! Bwa! ha! utapeli huwa tunazaliwa nao ndugu yangu, au?
Respect.
FMEs!
![]()
-Bwa ha ha ha ha ha