William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
- #201
- Kama nilivyoahidi nikiwa tayari nitaweka vitu hapa, ila for now poleni sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shy uko wapi Mtaalamu wa IT Tanzania ?
Ha!ha!ha! ile PM yako alikujibu?
Ila Baharia kampiga mkono asilete findings hapa mpka kieleweke kwa wale jamaa zake watatu!
Tatizo jamaa huwa hakubali kuchemka aisee,na ikitokea mtu kambana kwenye kona tu anaanza oooh we si fulani,mara mzee wa nini sijui,mara nakufahamu sana mze wa nanihiii,,,Hizi zote huwaga ni dalili za mzee mzima kuishiwa hoja..Maana inashangaza sana,huyu mzee anamfahamu kila mtu eti....LolTeh teh teh teh Unakumbuka zile nyimbo za jeshini? Kule kule kwa Chinova kule kule kule kule kwa chinova.......baba eeeh na mama ....malizia Yo Yo shem.....naona mzee mzima amebuma ameanza kufoka kwi kwi kwi....
Ha!ha!ha! ile PM yako alikujibu?
Ila Baharia kampiga mkono asilete findings hapa mpka kieleweke kwa wale jamaa zake watatu!
angalia usije ukawa umejishitukia mwenyewe kwa kukosa info, Bwa! ha! ha! mimi ni msanii kuliko wewe, vipi ya magari ya Canada? Bwa! ha! ha!
Ha!ha!ha! ile PM yako alikujibu?
Ila Baharia kampiga mkono asilete findings hapa mpka kieleweke kwa wale jamaa zake watatu!
Mkulu SHY nimewasiliana naye amekubali kuja kuweka wazi suala hili hapa JF. Anaandaa nondo za kitalaamu hata yeye hapendi wazalendo waibiwe....stay tuned
jamani, naomba nielekezwe namna ya kuipata hizo fomu mimi ninazo hizo dola 300 na passport ninayo pia
muandikie baharia PM au email mtuwameli@yahoo.com tena ufanye haraka ili maombi ya visa yatumwe mapemajamani, naomba nielekezwe namna ya kuipata hizo fomu mimi ninazo hizo dola 300 na passport ninayo pia
- Huwezi kuwa msanii kabla ya kuibia watu kwanza hela za gari, sounds familiar au? na kudai kampuni ya Mike ya biodiesel kuwa ni yangu! Bwa! ha! utapeli huwa tunazaliwa nao ndugu yangu, au?
Respect.
FMEs!
Tatizo jamaa huwa hakubali kuchemka aisee
... Kubali kuwa hili dili ni la uongo na ni la kutaka kuwaingiza Watanzania wenzio mkenge.
Kubali kuwa umechemsha yaishe acha longo longo nyingi ndugu.
Huyu alitaka ku kwiba, awe condemned!
kwa mujibu wa kamanda fmesNdugu wana mitandao mbalimbali haswa watanzania , sikupenda kuandika ujumbe huu wa kutoa ufafanuzi lakini nimelazimika kuandika ufafanuzi huu baada ya mmoja wa wadau kunishikia bango kwamba lazima niandike/niseme kitu kuhusu mradi wa kazi majuu , natoa pole kwa yeyote atakaye uthiwa au kuathiriwa kwa namna moja au nyingine kwa ukweli kupatikana pia sina interest yoyote katika mradi huu na mengine yote inayohusiana na hii .
mtalaam shy sijui kama ni yeye alieandika maana naona kama kakopi kwa Mr Yona Maro...nae kasema- Otherwise, ninamuaminia sana na mambo ya IT huenda ni the best Tanzania nzima!
bwa ha ha ha ha kamanda mtaalam wako wa IT huyo keshaweka mezani.....baharia ushaingizwa town......Craigslist Foundation ambayo tovuti yake ni www.craigslistfoundation.org Na mkutano
wa kwanza ulishafanyika wezi juni waka huu kutokana na habari ambayo iko kwenye tovuti hiyo
Barua ambayo nimeona nakala yake , inayoongelea mradi huu wa kazi ambapo
katika barua hiyo wameelekeza mtu kwenda www.craigslistfoundation.4t.com Kwa ajili ya
maelezo zaidi , ukweli ni kwamba Foundation hiyo haipo haitambuliki , katika tovuti
ya craiglist kwenyewe kuna tangazo la kutahadharisha watu kuhusu angalia mfano wa
foundation nyingine http://phoenix.craigslist.org/cph/wan/1327983029.html
ambayo kwa kiasi kikubwa inafanana na tangazo la kazi hapo juu .
Baadhi ya Taarifa zingine zinaweza kupatikana http://www.craigslist-scams.com/
Naona leo niishie hapa Poleni sana kwa wale wote waliosumbuliwa kwa namna moja
au nyingine na kadhia hiyo
13.AUG.
kwa mujibu wa kamanda fmes
mtalaam shy sijui kama ni yeye alieandika maana naona kama kakopi kwa Mr Yona Maro...nae kasema
bwa ha ha ha ha kamanda mtaalam wako wa IT huyo keshaweka mezani.....baharia ushaingizwa town......