Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

Status
Not open for further replies.
Ndugu zangu msimlaumu baharia inawezekana yeye hajui pia na yeye pia manake mambo haya kushitukia ni ngumu sana vingi inahitaji uwe na experiance navyo kidogo kwahiyo kilichotolewa ndio hicho sasa kama mtu akiamua kuapply ni kwa makubaliano yake na baharia na sio makubaliano yake na graigslist foundation kwa sababu ilishajieleza hapoo
 
Ndugu zangu msimlaumu baharia inawezekana yeye hajui pia na yeye pia manake mambo haya kushitukia ni ngumu sana vingi inahitaji uwe na experiance navyo kidogo kwahiyo kilichotolewa ndio hicho sasa kama mtu akiamua kuapply ni kwa makubaliano yake na baharia na sio makubaliano yake na graigslist foundation kwa sababu ilishajieleza hapoo

Shy kwanza many thanks kwa kuwa ''independent & honest Consultant'' on this matter!

Pili, tunachomlaumu Baharia ni ubishi wake mbali ya kupewa uzoefu mkubwa wa members juu ya mascams haya bado aliendelea kukomaa tu, pengine or may be na yeye ni part & parcel ya madili hayo, ndo maana labda aliendelea kukomaa, vinginevyo haiingii akilini why baharia akomae vile na haya madude!
 
Ndugu zangu msimlaumu baharia inawezekana yeye hajui pia na yeye pia manake mambo haya kushitukia ni ngumu sana vingi inahitaji uwe na experiance navyo kidogo kwahiyo kilichotolewa ndio hicho sasa kama mtu akiamua kuapply ni kwa makubaliano yake na baharia na sio makubaliano yake na graigslist foundation kwa sababu ilishajieleza hapoo

Hapa Baharia FMES kawa mdogo kama piriton....bwa bwa bwa bwa hahahaha ubishi ujuaji kwishney!
 
Ndugu zangu msimlaumu baharia inawezekana yeye hajui pia na yeye pia manake mambo haya kushitukia ni ngumu sana vingi inahitaji uwe na experiance navyo kidogo kwahiyo kilichotolewa ndio hicho sasa kama mtu akiamua kuapply ni kwa makubaliano yake na baharia na sio makubaliano yake na graigslist foundation kwa sababu ilishajieleza hapoo

Mimi naweza nikahisi najua kitu ila watu wakinikosoa nitafikiria mara mbili mbili ila siyo kuwa mbabe na vitu kama hivyo.
Kama ulivyosema vitu vingine vitahitaji uwe na experience. Ila pia ukikosolewa fikiria na jisahihishe hamna atakayekushangaa mana hamna mtu ajuaye kila kitu duniani.
Asante kwa uthibitisho mkuu wa IT..
 
- Mkuu SHY, heshima mbele sana na matokeo ya utaalamu wako ambao ninauheshimu sana, kama nilivyosema kule nyuma baada ya kufika huko bondeni mwenyewe nilijionea makenge yaliyomo kwenye msafara wa mamba, kama ilivyo humu ndani, nilijionea part ya makenge on the deal yaani the scam na part ambayo ni genuine na ndiyo ninayoifanyia kazi hadi sasa,

- Infact, Jumatatu ya next week jamaa zangu watatu watakuwa na the first interview kuhusiana na na hii deal ya kwenda majuu, wengine wote ninawashukuru sana kwa utabiri wenu mzuri sana nafikiri na nyinyi mmewahi kukutana na makenge ndani ya haya ma-deal, siku zote katika maisha panapokuwa na uongo, lazima pawepo na ukweli japo kidogo, shetani hawezi ku-create uongo kwa 100% bila kuwepo ukweli haijawahi kutokea katika masiha ya hapa duniani,

- Again Mkuu wangu SHY shukrani kwa your findings, ambazo originally ndio zilinifanya nishuke mwenyewe bondeni na bado ninaheshimu sana utaalamu wako kwa sababu bila ya wewe ningeupanda mkenge, kwa wengine wote ujumbe wangu bado ni ule ule, kwamba akili ni kama parachute ina-function better ikifunguka na sio kweli kwamba google ina majibu ya maswali yote duniani mengine haina ndugu zangu.

Sasa kama nilivyoahidi, ni kwamba jamaa zangu watatu wakishafinikiwa, nitaanza kwanza kuwafahamisha ndugu zangu wengi wa-Tanzania walionitafuta na wenye shida toka bongo kwanza, ma baadaye ndio ikibidi nitaweka hapa, unajua JF ni demokrasia makini sana hapa tunaheshimu sana mawazo ya kila mwananchi, kwa hiyo ndugu zangu mnaweza kuendelea na hizo ngonjera na taarabu, ila kinachonisshangaza ni kwamba watu wanaomini hii ni scam wanavyolala macho na hii thread ambayo inazidi kukua kwa kasi ya ajabu sana, saafi wakuu tupo pamoja na tuendelee kujadili! ila next weekend nitashuka tena huko bondeni, kama kuan wana-JF huko bondeni tuwasiliane ili tuweze kuonyeshana njia namna ya kusaidia ndugu zetu!

Na wakuu nitaendela kuwafahamisha yanayojiri na hii deal.

Respect.

Field Marshall Es!
 
Mimi naweza nikahisi najua kitu ila watu wakinikosoa nitafikiria mara mbili mbili ila siyo kuwa mbabe na vitu kama hivyo.
Kama ulivyosema vitu vingine vitahitaji uwe na experience. Ila pia ukikosolewa fikiria na jisahihishe hamna atakayekushangaa mana hamna mtu ajuaye kila kitu duniani.
Asante kwa uthibitisho mkuu wa IT..


Point tupu mamaa Masa.....Ndo maana nakumind!
 
- Mkuu SHY, heshima mbele sana na matokeo ya utaalamu wako ambao ninauheshimu sana, kama nilivyosema kule nyuma baada ya kufika huko bondeni mwenyewe nilijionea makenge yaliyomo kwenye msafara wa mamba, kama ilivyo humu ndani, nilijionea part ya makenge on the deal yaani the scam na part ambayo ni genuine na ndiyo ninayoifanyia kazi hadi sasa,

- Infact, Jumatatu ya next week jamaa zangu watatu watakuwa na the first interview kuhusiana na na hii deal ya kwenda majuu, wengine wote ninawashukuru sana kwa utabiri wenu mzuri sana nafikiri na nyinyi mmewahi kukutana na makenge ndani ya haya ma-deal, siku zote katika maisha panapokuwa na uongo, lazima pawepo na ukweli japo kidogo, shetani hawezi ku-create uongo kwa 100% bila kuwepo ukweli haijawahi kutokea katika masiha ya hapa duniani,

- Again Mkuu wangu SHY shukrani kwa your findings, ambazo originally ndio zilinifanya nishuke mwenyewe bondeni na bado ninaheshimu sana utaalamu wako kwa sababu bila ya wewe ningeupanda mkenge, kwa wengine wote ujumbe wangu bado ni ule ule, kwamba akili ni kama parachute ina-function better ikifunguka na sio kweli kwamba google ina majibu ya maswali yote duniani mengine haina ndugu zangu.

Sasa kama nilivyoahidi, ni kwamba jamaa zangu watatu wakishafinikiwa, nitaanza kwanza kuwafahamisha ndugu zangu wengi wa-Tanzania walionitafuta na wenye shida toka bongo kwanza, ma baadaye ndio ikibidi nitaweka hapa, unajua JF ni demokrasia makini sana hapa tunaheshimu sana mawazo ya kila mwananchi, kwa hiyo ndugu zangu mnaweza kuendelea na hizo ngonjera na taarabu, ila kinachonisshangaza ni kwamba watu wanaomini hii ni scam wanavyolala macho na hii thread ambayo inazidi kukua kwa kasi ya ajabu sana, saafi wakuu tupo pamoja na tuendelee kujadili! ila next weekend nitashuka tena huko bondeni, kama kuan wana-JF huko bondeni tuwasiliane ili tuweze kuonyeshana njia namna ya kusaidia ndugu zetu!

Na wakuu nitaendela kuwafahamisha yanayojiri na hii deal.

Respect.

Field Marshall Es!
bwa ha ha ha baharia bado mbishi.....tutakomaa na wewe mpaka mwisho najua ukiliwa hutasema bwa a ha ha ha ha sie tupo hapa kuepusha watu usiwaingize mkenge na $300 zao ndio maana tunakomaa na wewe......
 
bwa ha ha ha baharia bado mbishi.....tutakomaa na wewe mpaka mwisho najua ukiliwa hutasema bwa a ha ha ha ha sie tupo hapa kuepusha watu usiwaingize mkenge na $300 zao ndio maana tunakomaa na wewe......

Yo Yo huku sawa sawa endeleza libeneke......! sio kule kny msiba bana watu wana uchungu kule!

Ila watch out mnamchafulia sana bahari mkuu Baharia, chombo kitaanza kwenda mrama.......! ningekuwa mimi ngeomba waiclose hii thread!...ha!hah!ha!ha!ha!
 
Dunia imejaa utapeli.mimi nilishawahi kutapeliaw na compuny moja dola 289 miaka ya nyuma kabla sijahamia hapa Uk.kama mtakumbuka scam ya calodenia offshore wakidai wankupa kazi canada kumbe uongo .ukishalipa huawasiki tena.Tatizo la kazi lipo dunia nzima .lakini kazi kwa dolla 300 kuna ulakini.kabla hujalipa hizo hela chunguza kwa sababu kuna scam nyingi .Ningekushauruni ucheck na ubalozi wa inch husika if that agency existing they will check for you rather than paying and turn to be scam.also remeber given your information can lead them to steal you identity and even steal your money bank.so be careful.wish all the best
wenu
Susu
UK
 
Baharia anapokuwa amechafua bahari anaingia mtini gademu.....
 
Huu utapeli mtupu, ndio yale yale ya mimi nilikuwa na mtoto wa rais Mabutu, alipofariki aliniachia dola 200000000, nataka tufanye biashara, nitumie akaunti yako, au nyingine inasema, mimi nilikuwa mtoto wa sadam hussein, baba yangu aliniwekea dola 100000000 kwenye akaunti yangu, nitumie akaunti yako maana hapa sina usalama ili tufanye biashara...., hapa sioni tofauti, it's the same trick, ole wako utume hizo hela, au utoe akaunti yako, lazima baadae utakuja kushuhudia yaliyokupata hapahapa. Wanageria wametapeli watu wengi sana through internet, na huyu lazima atakuwa ni mnigeria, sio MTZ. Huwezi kuwafanyia hivi ndugu zako, watu bado tunatafakari tushike wapi maana karibia inchi inauzwa, halafu unatuchanganyia habari hapa,

Ebu fikiria, kama uongozi wa juu kabisa, na uwezo wake wote(dola, hazina,na kila kitu...) umeshindwa kupambana na ufisadi, na badala yake wanaanza kunyosheana vidole wenyewe, hapo tusemeje? Bwana FME, kama kweli wewe ni mtz, ebu tuungane kuiombea nchi yetu, ili tumalizie hii Ungwe kwa amani.
 
Mabaharia hawaamniki ndugu yangu, wakiona mtemba huo wanaanza!
Bwana wee,si unaona kama huyu kaitelekeza meli kaamua kujitosa baharini...Sijui kwa nini aliamua kuuwasha moto ambao hana shughuli nao..lol
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom