AiseeeUjue niko na ugonjwa wa kusahau
Unaendekeza huo uzee wako,mbona dadako hasahau.Ujue niko na ugonjwa wa kusahau
Ongeza sauti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha ubahili we mpare usipate sababu ebu tuma huko
NiogohaaFanya kweli basi acha kugunaguna
Si ndie yule aliefungua uzi akawataja wanawake kama wa nne na wewe ukiwemo[emoji23][emoji23][emoji23] basi itabidi nikamshawishi xxxx tuyalete na huku
Hutachomoa betriiiWewe mwambie sitamtelekeza sana,zile zilikuwa hekaheka tu za kusaka noti
Ujue siku hizi ameharibika sana alikuwa hayupo hiviNakaziaaaa
Uogoha mbwai ushe!Niogohaa
Sitakii naongeza kabisaPunguza sauti
HahahahahahaNdugu mjumbe acha tu... unavyonilike unanigunisha.
Hebu mwambie bwana, mimi sio sawa na wachomoa batteryHutachomoa betriii
NakaziaUnaendekeza huo uzee wako,mbona dadako hasahau.
Hahaha kwahiyo ukaamua kuja jf sasa yaani kivuruge wangu hapana jamaniWewe ulikuwa busy bana asa ningechat na naniii
Na mie namuonaUjue siku hizi ameharibika sana alikuwa hayupo hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyu sio young tunayemjuaNaunga mkono hoja
HahahahahahaUogoha mbwai ushe!
HahahahaUnaendekeza huo uzee wako,mbona dadako hasahau.
Si unaona kaweka mzungu kwa avatar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyu sio young tunayemjua
Huyo mm simuwezi sasa hivi