Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Kwa kweli tutakomaa na ndugu yetu MAGALLAH R mpaka dakika ya mwisho. Hatuwezi kumuangusha, huo ni ujambazi kutoka kwa mjumbe wa upande wenuNawakumbusheni tuu
Mjumbe alitaka 150000 ya matibabu na 78000 ya nauli. Msisahau ya kutolea
Hahaha.!!Fanyeni haraka mtusuuze moyooo [emoji23][emoji23][emoji125]♀️
Katibu fanyia kazi hili swalaa
Ujambazi gani tena mjumbe!Kwa kweli tutakomaa na ndugu yetu MAGALLAH R mpaka dakika ya mwisho. Hatuwezi kumuangusha, huo ni ujambazi kutoka kwa mjumbe wa upande wenu
YOUNGBLOOD katoa jibu hapo
Kesho sipo
Nimeshaomba likizo ya wiki nzima ili nipate wasaa muafaka wa kupitia ajenda na maazimio ya kikao. Naamini sitawaangusha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli kikao kifanyike haraka kwa hati ya dharura...
YOUNGBLOOD katoa jibu hapo
150,000 ya matibabu na 78,000 ya nauli???Ujambazi gani tena mjumbe!
7800 inatuumiza sanaa
Mh. Mwenyekiti kutokana na agenda tajwa hapo juu napenda kuwasilisha hoja ya kuhuzunisha kuwa 'couple za mafichoni ni nyingi sana na hazina idadi na hizi hufahamika tu pale muhusika mmojawapo akichomoa betri'. !!
Ndiwooo150,000 ya matibabu na 78,000 ya nauli???
JumamosiUtakuwepo lini sasa Shemeji.
Ndugu katibu chama cha wanawake jf tunasikitishwa sana na mjumbe wako mmoja kumtumia memba mwenzetu nauli ya basi (Zuberi) 76000
Badala ya kumkatia tiket ya ndege angalau fastjet au Airtz
Katibu tulichosikitika zaidi ni kwamba akamkimbia baada ya kula mzigo na kisha hakumuachia chochote wala angalau nauli ya zuberi
Kingine Katibu namalizia ni swala la wajumbe baadhi kuchomoa betri inatufanya tuwe na hofu sanaa maana inaharibu image zetu kwa wale tulowalaghai
Kinachofanya wajumbe wako kuwa single ni masuala hayo ya kuchomoa betri ndio maana pm zimefungwaaa
Kingine Katibu cha mwisho tunawashukuru sana baadhi ya wajumbe wako kwa moyo wa kutuheshimu na kulinda privacy zetu kwa moyo mmoja nawaambia tunawapenda sanaaa na wajitajidi kutochomoa betri
Ni mimi Mjumbe machachari Toka chama cha wanawake waaminifu na wasiopenda hela Jf
Mpwa za miaka aisee....
Nipigie debe na mimi ningoe kifaa humu ndani...Sitanii namaanisha Tokea nijiunge JF miaka kibao imepita sijawahi ona hata msg PM
Cc Shunie hebu pitia hapa kuna mchujo wa Alphabet Snimepitia uzi wa mdada mmoja anaanza na S natamani kuanzisha Kapo nae ya humu humu JF nje ya hapa hapana Tusijekuchomoleana Betrii