Tangazo muhimu kwa wanachama wa Chit-chat.

Tangazo muhimu kwa wanachama wa Chit-chat.

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Awali ya yote uongozi wa chama kikongwe jukwaani CC kinatoa radhi kwa changamoto zinazojitongeza jukwaani. Uongozi wa chama umekuwa ukifuatilia kwa kina na kufanya tathmini za dhati kabisa na hatua za awali zitachukulia.

Aidha, uongozi wa chama katika daftari lake la ukaguzi tumeendelea kupokea wanachama tele hasa wa jinsia pendwa na tunaipongeza timu yetu ya ukaguzi kwa kazi nzuri wanayofanya.

Dhumuni la andiko hili ni kuwajulisheni tumeskitika saana kuoneni katika updates za daftari la couple hadi kufikieni sasa couple ipo moja tu chamani ambayo ni Smart911 na mahondaw.

Kwa muktadha huo chama kinawatangazieni wanachit-chat wake na wale wa MMU kuwa majimbo yote yapo huru ispokuwa jimbo tajwa juu. Wanachama wa kiume wanaombwa watumie fursa hii vilivyo na hatutaki mchezo kwenye hili...pigana uwezavyo.

Aidha uongozi kwa haraka umewataka kuwafahamisheni pia:-

1. Wanachama wote wa kike kuacha milango yao wazi A.K.A PM- ni shurti sio ombi.

2. Wanachama wa jinsia pendwa wapya kujiandikisha mara moja kwa katibu na mwenyekiti kuanzia sasa. PM ya katibu na mwenyekiti zipo wazi 24/7. Hakuna excuses.

3. Nafasi ya katibu muenezi wa chama ipo wazi. Vijana changamkieni fursa tudumishe chama.

Asanteni tuendelee kukijenga chama.

Imetolewa na Katibu na mwenyekiti wa chama.
 
Mh. Mwenyekiti kutokana na agenda tajwa hapo juu napenda kuwasilisha hoja ya kuhuzunisha kuwa 'couple za mafichoni ni nyingi sana na hazina idadi na hizi hufahamika tu pale muhusika mmojawapo akichomoa betri'. !!
 
Back
Top Bottom