Tangazo muhimu kwa wanachama wa Chit-chat.

Tangazo muhimu kwa wanachama wa Chit-chat.

Tumesikitika sana na Tumeumia sana...
Mpaka hapo tutakapofikia makubaliano..
7800 tuikemee kwa vitendo
Chama hakina msalia Mtume kwa wanachama wa namna hii.

Uongozi wa chama unakemea kwa kauli zote.

Ndugu mjumbe vipi jimbo lipo wazi? Database ya chama inaonyesha jimbo jeupe hili
 
Kwa niaba ya mwenyekiti, naomba nitowe rai na pole kwa wale wote walio jeruhiwa na swala la picha.
Pili nipende kusema kwamba jf inaonekana kuvamiwa na vijana wasio na adabu na wasio na hekma hata kidogo, hali iliyo pelekea kukosa staha na kufanya mambo ya ajabu tena yenye kuitweza jinsia yetu.
Binafsi naamini wengi wapo humu wanao fahamiana, na pia kutofautiana ni jambo LA kawaida hata huku kwenye familia zetu, sasa linapo kuja swala la utashi, pengine hata inapo tokea kijana akamtongoza mdada humu na kisha kijana huyo ikitokea amekataliwa basi isiwe nongwa maana unapo zoza kuna kukubaliwa ama kukataliwa.
Kuanika picha ya mtu humu pasipo ridhaa yake, hilo ni jambo baya tena baya sana
Hewaala.

Kidumu cha daima
 
Ndg katibu mkuu, bila kupoteza muda naomba kupata muongozo wa kazi mahsusi ya picha nitakayokuwa nimegeuka nyuma.!!
Ndugu mjumbe katiba ya chama inakunyima mamlaka ya kuhoji maswali ya Katibu mkuu.

Aidha niende mbele kwa kukutoa wasiwasi katibu mkuu sio mtu wa mchezo mchezo yeye sio wa 7800.
 
kuna watu watakua wanajiandaa vema kumface joanah wasijue kua watapoteza 7800 zao maana joanah ananipenda mimi hilo liko wazi na nipo hapa nilipo nafikiria jibu la kumpatia ambalo halitamuumiza kihisia

😂😂😂😂😂
Waambie wasijisumbue kabisa manake tayari maji ya gundu kashanichukua,na bibi yangu Sky Eclat analijua hili japo babu Asprin hakufurahishwa sana na suala la 7800
 
Ndugu mjumbe hili suala naombeni tusilijadili saana bado linashughulikiwa na kamati kuu ya chama.

Nikutoe wasiwasi tu chama bado kipo makini.. acha PM wazi.
Ngoja tusubili maamuzi ya juu kwanza.
 
Kwa niaba ya Ke kutoka Mwanza tunaomba kiwango kipande kidogo, hatukubali nauli na posho ya kujikimu ilipwe 78,800/= .
Pia bei ya masweta yaliyoandikwa TANZANIA (🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿) ishuke hili linamhusu Mshana Jr ambaye ndie supplier wa huo mzigo.
 
Back
Top Bottom