Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
- Thread starter
- #41
Chama hakina msalia Mtume kwa wanachama wa namna hii.Tumesikitika sana na Tumeumia sana...
Mpaka hapo tutakapofikia makubaliano..
7800 tuikemee kwa vitendo
Uongozi wa chama unakemea kwa kauli zote.
Ndugu mjumbe vipi jimbo lipo wazi? Database ya chama inaonyesha jimbo jeupe hili