Tangazo muhimu kwa wanachama wa Chit-chat.

Tangazo muhimu kwa wanachama wa Chit-chat.

Kwa niaba ya Ke kutoka Mwanza tunaomba kiwango kipande kidogo, hatukubali nauli na posho ya kujikimu ilipwe 78,800/= .
Pia bei ya masweta yaliyoandikwa TANZANIA ([emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]) ishuke hili linamhusu Mshana Jr ambaye ndie supplier wa huo mzigo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndugu katibu chama cha wanawake jf tunasikitishwa sana na mjumbe wako mmoja kumtumia memba mwenzetu nauli ya basi (Zuberi) 76000
Badala ya kumkatia tiket ya ndege angalau fastjet au Airtz
Katibu tulichosikitika zaidi ni kwamba akamkimbia baada ya kula mzigo na kisha hakumuachia chochote wala angalau nauli ya zuberi

Kingine Katibu namalizia ni swala la wajumbe baadhi kuchomoa betri inatufanya tuwe na hofu sanaa maana inaharibu image zetu kwa wale tulowalaghai
Kinachofanya wajumbe wako kuwa single ni masuala hayo ya kuchomoa betri ndio maana pm zimefungwaaa

Kingine Katibu cha mwisho tunawashukuru sana baadhi ya wajumbe wako kwa moyo wa kutuheshimu na kulinda privacy zetu kwa moyo mmoja nawaambia tunawapenda sanaaa na wajitajidi kutochomoa betri

Ni mimi Mjumbe machachari Toka chama cha wanawake waaminifu na wasiopenda hela Jf
 
Ndugu katibu chama cha wanawake jf tunasikitishwa sana na mjumbe wako mmoja kumtumia memba mwenzetu nauli ya basi (Zuberi) 76000
Badala ya kumkatia tiket ya ndege angalau fastjet au Airtz
Katibu tulichosikitika zaidi ni kwamba akamkimbia baada ya kula mzigo na kisha hakumuachia chochote wala angalau nauli ya zuberi

Kingine Katibu namalizia ni swala la wajumbe baadhi kuchomoa betri inatufanya tuwe na hofu sanaa maana inaharibu image zetu kwa wale tulowalaghai
Kinachofanya wajumbe wako kuwa single ni masuala hayo ya kuchomoa betri ndio maana pm zimefungwaaa

Kingine Katibu cha mwisho tunawashukuru sana baadhi ya wajumbe wako kwa moyo wa kutuheshimu na kulinda privacy zetu kwa moyo mmoja nawaambia tunawapenda sanaaa

Ni mimi Mjumbe machachari Toka chama cha wanawake waaminifu na wasiopenda hela Jf
Tutajadili hili kikao kijacho
 
Back
Top Bottom