Professional Trader
JF-Expert Member
- Apr 5, 2016
- 1,220
- 1,120
we jamaa mchochezi ha ha ha ha ha
jamaa anataka kumuuzia mtu msala huo lukuvi kaisha kinukishaHiyo nyumba au pagara? Unaishi humo hata uiite nyumba?
Alivyokua akijikosha kwa mtukufu...[emoji2] [emoji2] [emoji2]Umemsikia lukuvi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na leo ametamka wazi kwamba..... Kwa hilo, atatenda dhambijamaa anataka kumuuzia mtu msala huo lukuvi kaisha kinukisha
Yani ukununua hapo kesho unaletewa pira ha ha ha ha ha ha haNa leo ametamka wazi kwamba..... Kwa hilo, atatenda dhambi
Mbna mlopokaji wewe ujiheshimu basi kama hauwezi kuafford si uchune tu kwani kuna mpumbavu umu kama wew akanunue eneo bila ya kwenda kulifanyia utafiti wa kina kwan muheshimiwa kazuia watu kununua viwanja au majengo yaliyopo sehemu sahihi apo acha kujilopokea kizembe kwenye vitu vya watu utapigwa shaba ........Yani ukununua hapo kesho unaletewa pira ha ha ha ha ha ha ha
Boss mbona unauchafua uzi unaweka vitu haviusiani mimi sichezi apa kama unaleta michezo ya kijinga na uku una umri zaidi ya miaka 30 uo ni utahira kiongozi kuwa makuni ...
Sawa karibu sana kiongoziHilo ni boma mkuu
Boss mbona unauchafua uzi unaweka vitu haviusiani mimi sichezi apa kama unaleta michezo ya kijinga na uku una umri zaidi ya miaka 30 uo ni utahira kiongozi kuwa makuni ...
Mtikisiko tu wa uchumi kiongozi maana mi mwenyew siuzi kwa kupenda bossSi ungemalizia kujenga?
Pole mkuu.Mtikisiko tu wa uchumi kiongozi maana mi mwenyew siuzi kwa kupenda boss
Goba kuna utapeli sana siku hiziMbna mlopokaji wewe ujiheshimu basi kama hauwezi kuafford si uchune tu kwani kuna mpumbavu umu kama wew akanunue eneo bila ya kwenda kulifanyia utafiti wa kina kwan muheshimiwa kazuia watu kununua viwanja au majengo yaliyopo sehemu sahihi apo acha kujilopokea kizembe kwenye vitu vya watu utapigwa shaba ........
May be but si unafata taratibu zote za ununuzi wa kiwanja au jengo watu wanakulupuka sana ndio maana wanapigwaGoba kuna utapeli sana siku hizi