Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
apa[emoji777] hapa[emoji819]Sio mahala pake apa mwalimu wa kiswahili nitafute inbox unifundishe nitakulipa
Bomoa bomoa? Usije ikawa ulivamia kiwanja sasa Lukuvi anataka kufanya yake.Habarini wanajamvi..
Naombeni muhusike na kichwa cha habari hapo juu Ndugu Zangu
Nauza jengo la nyumba ya kisasa lenye vyumba vinne(4) liliopo maeneo ya mbezi, Goba ,kulangwa Dar es salam Tanzania
Jengo lina vyumba vinnez
-Master room moja
-Public toilet
-Jiko
-Store
-Sitting room
-Dining room ya kisasa
Eneo lake kwa ujumla
Upana squire metre 14 ×26
Eneo Lilipo gari linafika mbaka mlangoni kuna barabara za mitaa na Hali ya hewa na mazingira mubashara.
Bei yake ni Tsh 40,000,000/= maongezi yapo nipo tayari kuuziana sehemu yeyote ambayo panausarama wa kisheria
Karibuni muione wakuu kwa mawasiliano piga simu no.View attachment 615490![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
0659254488
0688624299
Asanteni
Hapana mkuuBomoa bomoa? Usije ikawa ulivamia kiwanja sasa Lukuvi anataka kufanya yake.
Ulijitahid mkuu,usiuze bana pambana kivingine,tafutia mkopo kwa mtu ili uvuke kikwazo ,usiuze utarud nyuma mkuuHapana mkuu
jamaa anataka kumuuzia mtu msala huo lukuvi kaisha kinukisha
Hiyo ni nyumba au Boma?Habarini wanajamvi..
Naombeni muhusike na kichwa cha habari hapo juu Ndugu Zangu
Nauza jengo la nyumba ya kisasa lenye vyumba vinne(4) liliopo maeneo ya mbezi, Goba ,kulangwa Dar es salam Tanzania
Jengo lina vyumba vinnez
-Master room moja
-Public toilet
-Jiko
-Store
-Sitting room
-Dining room ya kisasa
Eneo lake kwa ujumla
Upana squire metre 14 ×26
Eneo Lilipo gari linafika mbaka mlangoni kuna barabara za mitaa na Hali ya hewa na mazingira mubashara.
Bei yake ni Tsh 40,000,000/= maongezi yapo nipo tayari kuuziana sehemu yeyote ambayo panausarama wa kisheria
Karibuni muione wakuu kwa mawasiliano piga simu no.View attachment 615490![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
0659254488
0688624299
Asanteni