Car4Sale TANGAZO: Nauza Nyumba ya Vyumba Vinne Mbezi Boba, Kulangwa.

hovyoooo.....huu ndio utapeli mubashara.. tuanzie hapa Je hiyo ni nyumba kwa akili zako timamu??? je kwa hatua iliyofikia hata nguruwe anaweza kuishi/kukaa hapo???? mjifunze kuandika matangazo ya biashara.. tangazo likikaa kiujanja ujanja hata biashara itakua ya kiujanja ujanja...vyuma vimekaza..ovaaaaaaaaaaaaaa..
 
Sawa noted mkuu
 
Vyuma vimekaza.

Hii lugha hutumiwa na wakulima huko usukumani walimao kwa plau.
 

Mkuu, sasa nyumba iko wapi hapo; hata kama nia yako ni nzuri lakini umeharibu kwa kutanguliza Uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…