mkuu moskwito.
niliwahi kushuhudia divorce moja ya mshkaji wangu iliniacha hoi. jamaa alimfuma partner wake na njemba kwenye mkahawa, mimi nikiwa kama shuhuda nilitegemea mabomu ya gongo la mboto yangelipuka lakini haikuwa hivyo. jamaa (aliefumania) alifurahi sana kwanza halaf akamwambia partner wake sentensi moja tu "thank god nimepata sababu ya kukuacha" na yule mdada na yeye akajibu kwa sentensi moja tu "thank god umetambua kwamba tunahitaji kuachana" mimi nikiwa nimeshangaa nikaona jamaa wanapeana baraka zote za divorce bila hata nyuso zao kuonekana kujali. baada ya kuondoka nikajaribu kumdadisi mshkaji wangu kuhusiana na nilichoshuhudia.........................
itaendelea post inayofata. stay tuned