Nasema Uongo Ndugu Zangu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 279
- 779
Simba kuifunga yanga kwenye league ni ngumu kwasababu kuna makundi kwenye team ya simba wanaotaka babra afeli na moja ya kitu wanachojaribu kufanya ni kuhakikisha wanatoa siri ya kambi kwa mpinzani ili iwe sababu ndio maana manara alionekana kwenye hotel siku chache kabla ya mechi ya yanga na simba na matola ndio muuza ramani mkuu kwa manara na ndio maana huwezi kuta manara amemdhihaki au kumtania matola iwe bahati mbaya au kusudi kwasababu wanajua wanachokifanya ngoja niishie hapo.Mara yamwisho tumeifunga Yanga kule kigoma kwenye FA goli 1 bila, wiki hiyo mgogoro wa Manara na Barbra ulikuwa kwenye peak. Baada ya Manara kwenda Yanga, kijana machachari Ahmed Ally akaja Simba.
Sasa tangu aje Simba hatujawahi kuifunga Yanga mara 5 mfululizo, binafsi nahisi huyu mwamba ana gundu.
Tumtafute hata Masau Bwire tuone kama atakuwa na bahati nayeye, Matola hahusiki kabisa kwenye hili.
duh! aisee kweli Simba mbumbumbu FC. yani magoli yote ya Yanga kwa Simba ni yenye kuonesha quality ya juu wachezaji wa Yanga we unasema mnafungwa kwa sababu ya makundi tena wapi na wapi? Makundi ndo yanacheza uwanjani?Goli la Feisal ni kutoka kundi la mpira pesa au mpira biashara?Simba kuifunga yanga kwenye league ni ngumu kwasababu kuna makundi kwenye team ya simba wanaotaka babra afeli na moja ya kitu wanachojaribu kufanya ni kuhakikisha wanatoa siri ya kambi kwa mpinzani ili iwe sababu ndio maana manara alionekana kwenye hotel siku chache kabla ya mechi ya yanga na simba na matola ndio muuza ramani mkuu kwa manara na ndio maana huwezi kuta manara amemdhihaki au kumtania matola iwe bahati mbaya au kusudi kwasababu wanajua wanachokifanya ngoja niishie hapo.
Malengo ya Simba hayajawahi kuwa kuifunga yanga ndio yamefikiwa. Tuna target kubwa zaidi. Nyie mmeshatimiza Lengo kuu lenu la kuifunga Simba msimu huu, hayo mengine ni ziada tu.Mara yamwisho tumeifunga Yanga kule kigoma kwenye FA goli 1 bila, wiki hiyo mgogoro wa Manara na Barbra ulikuwa kwenye peak. Baada ya Manara kwenda Yanga, kijana machachari Ahmed Ally akaja Simba.
Sasa tangu aje Simba hatujawahi kuifunga Yanga mara 5 mfululizo, binafsi nahisi huyu mwamba ana gundu.
Tumtafute hata Masau Bwire tuone kama atakuwa na bahati nayeye, Matola hahusiki kabisa kwenye hili.
akili nini?Wenye akili huko Yanga na Jk na Manara sr
Kwani Ahmed Ally anacheza mpira au anafundisha?
Mpira sio bahati ni ufundi acha uchawi kijanaMara yamwisho tumeifunga Yanga kule kigoma kwenye FA goli 1 bila, wiki hiyo mgogoro wa Manara na Barbra ulikuwa kwenye peak. Baada ya Manara kwenda Yanga, kijana machachari Ahmed Ally akaja Simba.
Sasa tangu aje Simba hatujawahi kuifunga Yanga mara 5 mfululizo, binafsi nahisi huyu mwamba ana gundu.
Tumtafute hata Masau Bwire tuone kama atakuwa na bahati nayeye, Matola hahusiki kabisa kwenye hili.
Muulize msemaji wenu ndio alisema hayo, maana hata yeye pia hana akili. NB: aliyesema ni yeye, mi sihusikiakili nini?
akili unapimaje?
nani anawapima watu akili?
Yeye mpimaji ana akili kiasi gani?
Mpimaji anatumia akili ipi kuwapima watu akili?
Je lini mashabiki wa Yanga walipimwa akili?
Kilitumika kipimo gani?
Mtihani wa kupima akili ulifanyika wapi , maswali yalikuwa yapi?
Nani alitunga maswali kuwapima akili wanayanga?
Nani alisahihisha majibu ya maswali ya mtihani wa akili?
Msahishaji alitumia akili ipi kusahihisha mitihani ya akili ya wanayanga?
Je kuropoka ndio akili?
Kweli Simba wengi hamna akili binafsi bali mnatumia akili za Msemaji wa Yanga aliepumzishwa!
Sasa maswali yako yoote ya juu hapa chini we umewapima na nini mashabiki wa Simba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, hapa sasa ndio inaonesha HAUNA AKILIKweli Simba wengi hamna akili binafsi bali mnatumia akili za Msemaji wa Yanga aliepumzishwa!
Kipimo cha kumbaini mtopolo asiye na akili ni kumwangalia kisogo tu. Huwa Wanavisogo vilivyochongoka na wengine wanaomba kubadilishwa jinsi ili wamzalie Mayeleakili nini?
akili unapimaje?
nani anawapima watu akili?
Yeye mpimaji ana akili kiasi gani?
Je mpimaji akili kwa wanayanga alipewa mamlaka na chuo kikuu gani kupima akili wanayanga?
Mpimaji anatumia akili ipi kuwapima watu akili?
Je lini mashabiki wa Yanga walipimwa akili?
Kilitumika kipimo gani?
Mtihani wa kupima akili ulifanyika wapi , maswali yalikuwa yapi?
Nani alitunga maswali kuwapima akili wanayanga?
Nani alisahihisha majibu ya maswali ya mtihani wa akili?
Msahishaji alitumia akili ipi kusahihisha mitihani ya akili ya wanayanga?
Je huko Kolokoloni kwenu mtu kuropoka baada ya kushiba chipsi zege ndio mnahesabu ndio akili?
Kweli Simba wengi hamna akili binafsi bali mnatumia akili za Msemaji wa Yanga kuzungumza na kutenda!
duh!Kipimo cha kumbaini mtopolo asiye na akili ni kumwangalia kisogo tu. Huwa Wanavisogo vilivyochongoka na wengine wanaomba kubadilishwa jinsi ili wamzalie MayeleView attachment 2362931View attachment 2362933
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Uyo Ahmed mnamuonea tu kwani yeye ndo anayecheza uwanjani? tatizo mna timu mboovuMara yamwisho tumeifunga Yanga kule kigoma kwenye FA goli 1 bila, wiki hiyo mgogoro wa Manara na Barbra ulikuwa kwenye peak. Baada ya Manara kwenda Yanga, kijana machachari Ahmed Ally akaja Simba.
Sasa tangu aje Simba hatujawahi kuifunga Yanga mara 5 mfululizo, binafsi nahisi huyu mwamba ana gundu.
Tumtafute hata Masau Bwire tuone kama atakuwa na bahati nayeye, Matola hahusiki kabisa kwenye hili.
Kwani Nasema Uongo Ndugu Zangu ?Sasa tangu aje Simba hatujawahi kuifunga Yanga mara 5 mfululizo, binafsi nahisi huyu mwamba ana gundu.
Hahaha haaaaaaa haaaaaaaaaaa.......Mlete mdhunguuu mlete ndhunguuu au Nasema Uongo Ndugu Zangu ..?
Nyamambichi ndiyo umekuja na staili hii leo?Mara yamwisho tumeifunga Yanga kule kigoma kwenye FA goli 1 bila, wiki hiyo mgogoro wa Manara na Barbra ulikuwa kwenye peak. Baada ya Manara kwenda Yanga, kijana machachari Ahmed Ally akaja Simba.
Sasa tangu aje Simba hatujawahi kuifunga Yanga mara 5 mfululizo, binafsi nahisi huyu mwamba ana gundu.
Tumtafute hata Masau Bwire tuone kama atakuwa na bahati nayeye, Matola hahusiki kabisa kwenye hili.
Kwa bandiko lako hili wewe huna akili kabisaaa! Una kibuyu cha kufugia nywele na kuhifadhia makamasi mwenyewe unakiita kichwa.akili nini?
akili unapimaje?
nani anawapima watu akili?
Yeye mpimaji ana akili kiasi gani?
Je mpimaji akili kwa wanayanga alipewa mamlaka na chuo kikuu gani kupima akili wanayanga?
Mpimaji anatumia akili ipi kuwapima watu akili?
Je lini mashabiki wa Yanga walipimwa akili?
Kilitumika kipimo gani?
Mtihani wa kupima akili ulifanyika wapi , maswali yalikuwa yapi?
Nani alitunga maswali kuwapima akili wanayanga?
Nani alisahihisha majibu ya maswali ya mtihani wa akili?
Msahishaji alitumia akili ipi kusahihisha mitihani ya akili ya wanayanga?
Je huko Kolokoloni kwenu mtu kuropoka baada ya kushiba chipsi zege ndio mnahesabu ndio akili?
Kweli Simba wengi hamna akili binafsi bali mnatumia akili za Msemaji wa Yanga kuzungumza na kutenda!