Nasema Uongo Ndugu Zangu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 279
- 779
Mara yamwisho tumeifunga Yanga kule kigoma kwenye FA goli 1 bila, wiki hiyo mgogoro wa Manara na Barbra ulikuwa kwenye peak. Baada ya Manara kwenda Yanga, kijana machachari Ahmed Ally akaja Simba.
Sasa tangu aje Simba hatujawahi kuifunga Yanga mara 5 mfululizo, binafsi nahisi huyu mwamba ana gundu.
Tumtafute hata Masau Bwire tuone kama atakuwa na bahati nayeye, Matola hahusiki kabisa kwenye hili.
Sasa tangu aje Simba hatujawahi kuifunga Yanga mara 5 mfululizo, binafsi nahisi huyu mwamba ana gundu.
Tumtafute hata Masau Bwire tuone kama atakuwa na bahati nayeye, Matola hahusiki kabisa kwenye hili.