Tangu akamatwe Scorpion, Mshana Jr hajaonekana JF

Kuna thread inasema Mshana amefariki dunia, huwa nachat nae whatsapp lakini toka jumapili namtext hazijawa delivered na nikiangalia last seen inaonesha october 8 saa tatu asubuhi.
Tupia link ya hiyo thrrad
 
Duuh! Mshana imekuaje mkuu mpaka leo hujatoka huko kwenye network korofi? Naanza kushawishika na hii thread.. Mmmh, jf kiboko
 


Nipo bukheri wa afya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…