Tangu akamatwe Scorpion, Mshana Jr hajaonekana JF

Tangu akamatwe Scorpion, Mshana Jr hajaonekana JF

Kuna thread inasema Mshana amefariki dunia, huwa nachat nae whatsapp lakini toka jumapili namtext hazijawa delivered na nikiangalia last seen inaonesha october 8 saa tatu asubuhi.
Tupia link ya hiyo thrrad
 
Duuh! Mshana imekuaje mkuu mpaka leo hujatoka huko kwenye network korofi? Naanza kushawishika na hii thread.. Mmmh, jf kiboko
 
Wandugu,

Kati ya watu ninaowakubali JF, Mshana Jr ni namba moja. Si kawaida kukaa nusu saa bila kukuta walao comment yenye busara ya huyu member mwenzetu.

Kwakuwa nimekosa vitu vyake adimu kule Jamii Intelligence na Jamii Photo, nikaamua niangalie profile yake na kushtushwa kukuta" Mshana Jr was last seen: Saturday at 09:33 Am."Hili jambo si la kawaida kwa nguli huyu wa JF.

Naomba kujuzwa kwa wale wamjuaye, vipi ana uhusiano wowote na Scorpion au yeye ndiye Scorpion mana tulio wengi humu tunatumia ID fake.

NIMEMISS BUSARA NA MAWAZO YAKE KWA SIKU NNE SASA.


Nipo bukheri wa afya
 
Back
Top Bottom