Tangu akamatwe Scorpion, Mshana Jr hajaonekana JF

Tangu akamatwe Scorpion, Mshana Jr hajaonekana JF

Kuna watu wataikacha JF kwa muda ili kuona kama watatafutwa kama mashana....Please if you dare to get lost, dare at your own risk!....nobody will utter for your missing.
 
Yuko kwenye vikao na wachawi wenzake . Wana mkutano mkuu wa wachawi wa kila mwaka na kwa mwaka huu wanafanyia chato .
Mkuu huu ni utani wa ngumi huu,chatto tena.usisahau kua hajaribiwii.

Comment yako inaelekea kuchocheachoea hivi[emoji1] [emoji1]
 
Mkuu mshana jr ,usipo jitokeza mapema uma wa jf utaanza kuzingatia hizo tetesi.

Ukinzingatia na kale kautafiti kua walipo watanzania wa nne mmoja wapo ni kichaaa, ukijua idadi ya members wa jf unaweza jua wangapi humu ni vichaa.
 
Kabadili ID yupo hapa hapa kwenye huu uzi anawachora tu..
Sio mtu wa mchezomchezo yule
Ukibadili id utajulikana tu mshana jr hajabadili check hapa[emoji116]
1476646546301.png
 
Kuna thread inasema Mshana amefariki dunia, huwa nachat nae whatsapp lakini toka jumapili namtext hazijawa delivered na nikiangalia last seen inaonesha october 8 saa tatu asubuhi.
 
Back
Top Bottom