Tangu alijue kanisa ndio anazidi kunisahau

Tangu alijue kanisa ndio anazidi kunisahau

Labda kakutana na mafundi wanaokuzidi huko kanisani. Jua tu huko kanisani kuna wanafiki wa kiwango cha hali ya juu
 
Mimi niliachwa kisa kuku, yaani toka alivyoanza kufuga kuku tu akanisahau. Eti wanamuwazisha daah
imagine nazidiwa thamani na kwiyo kwiyo 80
[emoji17]

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Keshampata bwana mpya ktk hilo dhehebu, na huyo bwana anajiita ni bwana wa mabwana tena bwana wa wajane pia mfariji wa wanyonge na anao wivu balaa,[emoji3061][emoji23][emoji23].

Sasa kwa cares anazopata huko unatarajia atakukumbuka? Ukichangia ni kuwa ktk hayo magenge yao wanalishwa sumu na viongoz wao kuwa huko makanisani kuna mibaraka ya kumwaga[emoji23], pia mume bora wanaambiwa hutokea huko huko aliko bwana wao.

Wanawake walivyo wepesi wa kukubali mambo bila kutumia akili huo udhaifu wao ni ngumu kuukwepa[emoji23][emoji23].

SOLUTION;- mfuate wew ndipo utafanikiwa kumpata, ama mteme mazima na ndyo maamuzi ya kiume, hutompata akishaonja utamu wa Yule bwana na akishalewa mapambio ya dini, ni ngumu sana kumchomoa.

Dini ni ulevi mbaya sana kwa wanawake na baadhi ya wanaume wapumbavu [emoji23][emoji23].

Kwisha habari yako kijana
1641316427611.jpg
 
Huyu manzi wangu nampenda sana lakini tangu alijue kanisa la Efatha imekuwa nongwa, muda wote yuko bize na vikao vya kanisani hta mzigo sipewi kabisa this time.

Nimejaribu kumtia mikwala but amegoma na hataki hata kunisikiliza yaani inapita siku bila kuonana nae kwake fresh tuh, nahisi penzi langu ndio linaondoka ivyo au sijui labda kuna mpiga vinanda huko ameshatia kitumbua changu mchanga.

Hawa watumishi sijui wanawaambiaga nini mademu zetu hadi wanachange ghafla, inall namsaka nimtie mara ya mwisho halafu nimuachie huyo Mwingira wake coz nimeshachoka! japo itauma ila kwa muda tuh
Baada ya mwaka utamuona kwenye kideo akiwa kweye foleni ya wadada wanaotaka wapate ndoa ya muujiza.
 
'Wanawake [wasiojitambua] wakishaokoka, wanakuwa na waume watatu Mmewe, Kanisa na Yesu'—Mchungaji Joshua Maponga.
 
Mimi niliachwa kisa kuku, yaani toka alivyoanza kufuga kuku tu akanisahau. Eti wanamuwazisha daah
imagine nazidiwa thamani na kwiyo kwiyo 80
[emoji17]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji86][emoji86][emoji86]
 
Keshampata bwana mpya ktk hilo dhehebu, na huyo bwana anajiita ni bwana wa mabwana tena bwana wa wajane pia mfariji wa wanyonge na anao wivu balaa,[emoji3061][emoji23][emoji23].

Sasa kwa cares anazopata huko unatarajia atakukumbuka? Ukichangia ni kuwa ktk hayo magenge yao wanalishwa sumu na viongoz wao kuwa huko makanisani kuna mibaraka ya kumwaga[emoji23], pia mume bora wanaambiwa hutokea huko huko aliko bwana wao.

Wanawake walivyo wepesi wa kukubali mambo bila kutumia akili huo udhaifu wao ni ngumu kuukwepa[emoji23][emoji23].

SOLUTION;- mfuate wew ndipo utafanikiwa kumpata, ama mteme mazima na ndyo maamuzi ya kiume, hutompata akishaonja utamu wa Yule bwana na akishalewa mapambio ya dini, ni ngumu sana kumchomoa.

Dini ni ulevi mbaya sana kwa wanawake na baadhi ya wanaume wapumbavu [emoji23][emoji23].

Kwisha habari yako kijanaView attachment 2072642
sawa mkuu nimekupata
 
Huyu manzi wangu nampenda sana lakini tangu alijue kanisa la Efatha imekuwa nongwa, muda wote yuko bize na vikao vya kanisani hta mzigo sipewi kabisa this time.

Nimejaribu kumtia mikwala but amegoma na hataki hata kunisikiliza yaani inapita siku bila kuonana nae kwake fresh tuh, nahisi penzi langu ndio linaondoka ivyo au sijui labda kuna mpiga vinanda huko ameshatia kitumbua changu mchanga.

Hawa watumishi sijui wanawaambiaga nini mademu zetu hadi wanachange ghafla, inall namsaka nimtie mara ya mwisho halafu nimuachie huyo Mwingira wake coz nimeshachoka! japo itauma ila kwa muda tuh

Niko kwenye exact same situation sijamtafuta leo siku ya pili, sema nimeona ushauri wa [mention]Evelyn Salt [/mention] nahis naroll na huu
 
Niko kwenye exact same situation sijamtafuta leo siku ya pili, sema nimeona ushauri wa [mention]Evelyn Salt [/mention] nahis naroll na huu
hivi viumbe bora vingetengewa sayari yao kabisa
 
anakwambia dhambi, anajiskia vibaya mwanzo alikuwa hafikirii vizur
Hivyo hivyo mkuu, halafu wa kwangu kawa muongeaji kinoma yaani anahisi anaongea point muda wote... but namchora tu cz nimempa mwezi mmoja akizingua nitakaza roho kiume
 
Back
Top Bottom