Tangu alijue kanisa ndio anazidi kunisahau

hivyo hivyo mkuu, halafu wa kwangu kawa muongeaji kinoma yaani anahisi anaongea point muda wote...

Mle mle anauliza swali ukijibu kirahis anakushushia waraka, kama unavyosema anaongea mwenyewe anajiona yuko deep mpaka unabaki kushangaa wtf is happening, akienda church asubuhi mpaka jion... Wewe amua uamuzi wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…