Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jan 8, 2022 #61 Pole sana anakukosea sana...
Jorge WIP JF-Expert Member Joined Jul 12, 2018 Posts 3,567 Reaction score 5,323 Jan 8, 2022 #62 beatboi said: hivyo hivyo mkuu, halafu wa kwangu kawa muongeaji kinoma yaani anahisi anaongea point muda wote... Click to expand... Mle mle anauliza swali ukijibu kirahis anakushushia waraka, kama unavyosema anaongea mwenyewe anajiona yuko deep mpaka unabaki kushangaa wtf is happening, akienda church asubuhi mpaka jion... Wewe amua uamuzi wako
beatboi said: hivyo hivyo mkuu, halafu wa kwangu kawa muongeaji kinoma yaani anahisi anaongea point muda wote... Click to expand... Mle mle anauliza swali ukijibu kirahis anakushushia waraka, kama unavyosema anaongea mwenyewe anajiona yuko deep mpaka unabaki kushangaa wtf is happening, akienda church asubuhi mpaka jion... Wewe amua uamuzi wako
BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,767 Reaction score 23,198 Jan 9, 2022 #63 Hutaki mwenzio apate ufalme wa mbingu?