Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

Fanya hivi amka asbh sana saa12 au mapemazaid ingia dukani na Biblia anza maombi ya kufungua duka ikiwezekana funga kabisa usile omba sema nafungua milango ya duka kwa jina La Yesu wateja waje kwa jina La Yesu yoyote aliyefunga suka hili uchawi urudi kwake kwa jina la Yesu baada ya maombi yasiyopungua nusu saaa fungu duka na kila baada ya muda kidogo omba omba emdelea kuomba, halafu uje hapa.kushuhudia wateja watarudi,wamefunga duka lako wewe unaona liko wazi wenzako wamelifunga.
 
Njoo PM ukombolewe......
Nitakuunga na Nabii..
Maana mpaka siredi ya kumi hatujui unauza ni dukani.....

 
Me nadhani pengine ukaogee maji ya mchele sometimes it's okay to be "DUMB HERO"
Unaongea nadharia zenye fallacies kibao. Ukiambiwa umeongea pumba,badala ya kuthibitisha sio pumba ni mchele, unaleta pumba zingine tena.

Unaweza kueleza vizuri tu nadharia yako watu wakaelewa bila dharau na dhihaka. Ila kwa kuwa huwezi,sishangai kujibu ujinga uliojibu.
 
uwe na wakati mwema ndugu as long as mwenye uzi kaona kipi ni kizuri upande wake basi siwezi tena bishana na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…