Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

Ahsante hata nilidhani nimemaliza kuandika

Yani moyo wangu umekuwa mzto

Ni kwl waganga wapo au ni stori tu mkuu?
Mkuu mi mwenyewe biashara kwangu ngumu tangu 2021 mpaka leo hali haijakaa sawa nimeshahamisha ofisi sehemu tatu ila nimekomaa tu sina mpango wa mganga wala nini cha msingi tuombe Mungu tu yeye peke ake ndo mwenye kujua hatma zetu.

Usikate tamaa tumaini bado lipo.

Usidanganyike na mambo ya kwenda kwa waganga watazidi kukumaliza.

Amini kwenye imani yako na uamini kwamba yule aliyekuumba hatakuacha uteseke milele.

Ni hayo tu nayoweza kukuambia mkuu.

Be blessed.
 
Mkuu mi mwenyewe biashara kwangu ngumu tangu 2021 mpaka leo hali haijakaa sawa nimeshahamisha ofisi sehemu tatu ila nimekomaa tu sina mpango wa mganga wala nini cha msingi tuombe Mungu tu yeye peke ake ndo mwenye kujua hatma zetu.

Usikate tamaa tumaini bado lipo.

Usidanganyike na mambo ya kwenda kwa waganga watazidi kukumaliza.

Amini kwenye imani yako na uamini kwamba yule aliyekuumba hatakuacha uteseke milele.

Ni hayo tu nayoweza kukuambia mkuu.

Be blessed.
Aiseee , sawa mkuu, ahsante kwa kunitia moyo ndugu yangu
 
Biashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.

Aisee nimerogwa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭

Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwanini huu ugumu wote huu.

Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu.

Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukata mbaya nikaambulia madeni

Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
Usingeweka neno kulogwa kwenye mada yako ungepata ushauri mzuri na wakitaalam zaidi ila ushaharibu mada pambana
 
Ungekuwa haujafanya kazi kwako ningekubali
Lakini piah hapo nimeongea vitu vingi
1. POSITIVE ATTITUDE
2. GROWTH MINDSET
Unaweza ukawa unasali lakini negative mindset yako ikakufanya ukakwama au ukaisha kabisa ndio maana tukaitwa human BEings you have to BE positive na hatukuitwa human DOings you can't DO positive
Hizo positive attitude na growth mindset unazipimaje! Au kwa kufeli na kufanikiwa?

Mimi nadhani ifike pahara muwe mnamtetea huyo mungu bila kutengeneza assumptions. Au kama hamuwezi bora mkae kimya.
 
Hizo positive attitude na growth mindset unazipimaje! Au kwa kufeli na kufanikiwa?

Mimi nadhani ifike pahara muwe mnamtetea huyo mungu bila kutengeneza assumptions. Au kama hamuwezi bora mkae kimya

Hizo positive attitude na growth mindset unazipimaje! Au kwa kufeli na kufanikiwa?

Mimi nadhani ifike pahara muwe mnamtetea huyo mungu bila kutengeneza assumptions. Au kama hamuwezi bora mkae kimya.
Me nadhani pengine ukaogee maji ya mchele sometimes it's okay to be "DUMB HERO"
 
Biashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.

Aisee nimerogwa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭

Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwanini huu ugumu wote huu.

Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu.

Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukata mbaya nikaambulia madeni

Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
Je wewe ndo upo full time dukani
 
Chaguwa kati ya Mungu au upande wa pili na usiwe vugu vugu utatoboa
 
Hardware ya vifaa vidogo vidogo
Siku nyingine ukipata mtaji, ongezea na bidhaa nyingine ili kuwavuta watu wa aina zote. Acha kuwekeza kwenye biashara ya aina moja tu.
Weka mitungi ya gesi, vifaa vya umeme, huduma za kifedha, na mazagazaga mengine.

Unaweza kufikiri labda umerogwa! Kumbe unafanya biashara ya mazoea, huna ubunifu, una dharau, unakosa lugha nzuri kwa wateja, unauza bidhaa zilizopitwa na wakati, nk.
 
Mkuu mimi naona wewe unapanic bure, unachotakiwa kuwa nacho ni subra. Biashara bila subra utakufa presha. Uzijue nyakati za biashara yako, nyakati nzuri na mbaya.
Sioni tatizo hasa ukizungumzia biashara kitu pekee unaweza kufanya ni kuzijua nyakati ngumu na uzivumilie,ukushindwa umepotea.
Ukikosa sawa, ndio biashara na ukipata sawa, ndio biashara.
Mkuu achana na ushirikina, achana kbs, au labda umtumaini Mungu angalau itakupa matumaini.
 
Biashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.

Aisee nimerogwa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭

Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwanini huu ugumu wote huu.

Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu.

Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukata mbaya nikaambulia madeni

Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
Mambo mengi duniani yapo ulimwengu wa roho kila ukionacho chanzo chake kipo ulimwengu wa roho ukifungwa ulimwengu wa roho matokeo utayaona ulimwengu wa mwili iwe ni biashara au kazi au ndoa au familia sasa nakushauri tafutw ibada tafuta ibada fanya maombi fanyiwa maombi usilale kbs aisee wategemeao waganga hawalali
 
Unafanya biashara gani? Wakati biashara imechanganya ulikuwa unaingiza sh ngapi kwa siku?
 
Biashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.

Aisee nimerogwa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭

Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwanini huu ugumu wote huu.

Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu.

Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukata mbaya nikaambulia madeni

Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
Kila changamoto ina solution yake, inaweza ikawa umerogwa au umebarikiwa unatakiwa uende step nyngine au ujifunze kitu kwa wenzako
 
Back
Top Bottom