Tangu Deception aanze kampeni yake kuhusu UKIMWI, kuna yeyote humu ndani ambaye amemuamini?

Hata kama hicho kirusi (HIV) kipo (kimegundulika na siyo kuvumbuliwa au kutengenezwa - angalia 'video clip' 1)bado hakuna ushahidi wa kisayansi kwamba kinasababisha UKIMWI (AIDS) - angalia 'video clip' 2.



Sir with Love; Kavel; Deception - your comments on what the 2 video clips imply!
 
Solution ya huu mjadala ni mtu achomwe damu yenye VVU halafu afanyiwe monitoring kwa muda

Otherwise hakutakua na mwisho
Bado hata hili sio suluhisho la mjadala, hao waliovumbua HIV/AIDS wanakiri kuwa kuna baadhi ya Watu hawawezi kupata HIV/AIDS. Mimi naamini ni miongoni mwa Watu hao. Hata nikidungwa damu ya mtu mwenye HIV/AIDS Nadhani nitaendelea kutest negative.
 


Mkuu, the FACT ni kwamba, mbali na huyo 'HIV', kuna other factors ambazo zinaweza ku-trigger majibu ya HIV positive, inaitwa False Positive. Miongoni mwa factors hizo ni MIMBA (pregnancy). Fact hii hata madaktari wenyewe wanakiri kuwa ni kweli.

Sasa hebu fikiria, leo hii ni akina mama wangapi (waliopata mimba) wanakula ARVs kila siku ilihali kumbe hawana tatizo lolote mwilini wala huyo HIV.

The bottom line ni kwamba MIMBA inaweza sababisha FALSE HIV+ kwenye hivyo vipimo.

Kama kuna daktari yeyote humu anabisha hili, aje hapa.

Kimsingi, hili suala la HIV/AIDS ni kizungumkuti kikubwa. Lina 'mazingaombwe' na sintofahamu nyingi sana.

-Kaveli-
 


Tuanzie hapa kwanza. Kimsingi kuna makundi matatu kwenye hili suala la HIV/AIDS:

1. Wanaoamini kuwa HIV sio real, ni fake. Ni HOAX! Yaani kwamba HIV hayupo kiuhalisia.

2. Wanaoamini kuwa HIV ni real, yupo, na anasababisha Ukimwi!

3. Wanaoamini kuwa HIV ni real, yupo, lakini hana madhara mwilini, ni harmless, hasababishi Ukimwi!

Wewe binafsi upo kwenye kundi lipi hapo?

-Kaveli-
 

Kavel: hoja yako hapo juu imenikumbusha video hii:
Wataalamu mtujuze mantiki ya ubishani huo wa kisayansi
 
Ninaheshimu kila mtu JF, lakini Kwenye huu mjadala, Pro HIV/AIDS hoja zenu hazina uzito, ni za kitoto halafu zinasikitisha sana, Kwenye hii komenti kuna sentensi umeandika,"....wewe ni mhudumu wa afya, halafu wanakuja mawaziri kuchukua dawa, . . . . hao mawaziri wasomi Kwa mtazamo wako hawana akili......"

Kwa mtazamo wako ni kuwa Kwa sababu kuna Watu Kama mawaziri wanachukua dawa, basi HIV/AIDS ni real!


Hukuwaona hao mawaziri ambao wewe unadhani ni kipimo cha weledi walivyopanga foleni kunywa kikombe cha babu?
 

Kavel: bahati mimi ni mwanasayansi japo siyo fani hii ya magonjwa. Ninasoma na kufuatilia mada zinazoelezea kinachojiri kwenye tafiti za kisayansi.

Hadi sasa katika tafiti za kisayansi makubdi yote hayo matatu hayafanya tafiti tosheleza za kuthibitisha hayo (bado ni hypotheses), kama ifuatavyo:
1) Damu ya mwenye UKIMWI haijaonyesha kuwapo kwa kirusi "specific" kuambukiza UKIMWI, hadi sasa

2) Virusi vipo vya aina nyingi, na baadhi ya damu zineonekana na kirusi tofauti na vinavyojulikana, kikapewa hilo jina la HIV, kwa sababu ya mazingira yake.

3) Kundi hili linakubaliana na kundi la 2 ila hicho kirusi kinaonekana pia kwenye watu wasio na UKIMWI

Napenda kuangukia kundi la (3) hadi pale wanasayansi watakapopata ushahidi bayana kwamba HIV husababisha AIDS.
 
....
Huwezi ukasema uzazi wa mpango unasababisha AIDS. Acha basi kujifanya unajua wakati hujui......

Aisee huyu Dr ni shida sana....hebu lete quote yangu ni wapi nimesema uzazi wa mpango unasababisha AIDS.Kimantiki ni kweli kwamba mtu kama mimi siwezi kusema upumbavu kama huo,lakini wewe hujui ulichokiandika,fahamu kwamba hujui.

....
AIDS in ugonjwa unaosababishwa na kutokua na kinga kwenye mwili wako....

Umerudia tena shombo ileile....mwanzo nilidhani uliteleza...kumbe hujui..he he heee.Sasa wadau angalieni alichoandika huyu MD hapo juu kwenye bold halafu ninyi wenyewe ndio mtaamua....hivi kweli MD anaweza kuandika maneno kama hayo jamani?Hivi ma MD kama hawa ndio wanaaminika kutoa ushauri kwa watu kweli?

Halafu hajaandika hivi mara moja,ameandika shombo kama hii katika post tatu tofauti...hii inamaanisha kwamba hajui anachokiandika....na mimi sikumwambia amekosea wapi maana anajifanya mjanja wakati hajui...na ndio maana amerudia tena kosa lilelile....

Siandiki haya ili kupata point au ili nisifiwe..la hasha...bali nataka niwaoneshe naongea na mtu wa aina gani.Mambo haya ni ishara tosha inayoonesha uelewa wa huyu mhusika katika suala hili...kama anashindwa kujua mambo ambayo ni very basic.....sasa yale makubwa itakuaje?

Na ndio maana kuna masuala mengi mazito ameyaandika lakini hayajui...na mimi sikutaka kumjibu kwa kuwa nisingependa kupoteza muda...kwasababu kama hajui mambo ambayo ni very basic, sasa yale makubwa si rahisi akayaelewa.
 

Mkuu wewe unaweza sana kuongoza mijadala....yaani hata kama unaona wazi mtu katema pumba huwa humkosoi....safi sana....ila nakukumbusha kwamba,mheshimiwa Dr wetu hakusema kwamba Galo amevumbua HIV,bali alisema amevumbua AIDS....nakukumbusha tu,hii itakusaidia kujua uwezo wa mshiriki wetu huyu kwenye mjadala huu.

....
4. Huyo Dr Robert Gallo, zamani miaka ya nyuma sana aliwahi pia kuleta 'usanii' kwenye ugunduzi wa 'CANCER'. Aliambulia criticism kubwa sana from the medical science community.

-Kaveli-

Mambo kama haya madaktari wetu huwa wanajifanya hawayaoni hata kama utayaweka hapa....ndio maana niliwahi kusema mwanzo kwamba,historia ya suala hili ni moja kati ya mambo 4 muhimu kuyajua ili ubaidi ukweli wa suala hili,suala hili wala sio tata bali wafundishwaji wenyewe ndio watata na ndio maana hawaelewi,kila siku wao wanalalamika tu kwamba eti suala hili ni zito,hakuna uzito wowote hapa.

Lazima ma MD na watu wote kwanza wajue kwamba Galo hajaanza usanii kwenye suala la HIV/AIDS,bali alianza zamani sana kabla ya hapo....na baada ya kupingwa vikali katika suala la cancer(ambapo lengo lake la kudanganya lilikuwa lilelile la kuuza dawa) alihamishia nguvu kwenye HIV/AIDS...

Sasa huku hakutaka kabisa kurudia kosa lilelile la kushirikisha wanasayansi wengine kabla ya kutangaza HIV mwaka 1984,maana alijua atapingwa tena na lengo lake halitotimia....ndio maana walitangaza harakaharaka bila ya kufuata procedure zinazotakiwa ili kuepusha pingamizi...na ndio maana HIV alitangazwa kama 'PROBABLE CAUSE' badala ya REAL cause ule mwaka 1984....tafute hiyo video ya kutangazwa kwa huyo HIV feki mjionee wenyewe...hapa vitu live bila chenga,wala huhitaji scientific paper kujua kwamba HIV alitangazwa kama 'probable cause'...he he heeee...

Sasa basi,ndio maana dawa za kwanza kabisa walizopewa watu waliosingiziwa kuwa na HIV huyo feki zilikuwa AZT ambazo ndio zilitumika kama chemotherapy kwa watu wenye cancer..unaona sasa hapo?Yaani lengo limetimia kwa upande mwingine wa shilingi....sasa kwanini watu wenye AIDS wapewe chemotherapy badala ya vitu vinavyokuza kinga zao?

Kama mtu hajaelewa kipande hiki kidogo basi kazi ipo.

....Baada ya kuicheki, please tupe maoni yako juu ya hicho alichokisema humo:

-Kaveli-

He he heee..ngoja nisubiri vichekesho kama akija kukujibu suala hilo.Watu wana macho lakini hawaoni,wana masikio lakini hawasikii...sijui watu wanataka evidence za aina gani ili waelewe suala hili.
 

Ndio maana huwa nasisitiza kwamba,ukweli uko mitaani na kwenye vituo vya afya,ukweli wa jambo hili huwezi kuupata hapa kwa urahisi...kwa maana hapa kila mtu ana vitu vyake anavyoviita 'proofs'...lakini ukienda mtaani ndipo utakutana na mambo kama haya hapo juu kama mwenzetu huyu alivyoshuhudia mwenyewe.....sina wasiwasi na ukweli huu...kwa kuwa najua ushahidi upo mwingi sana mitaani kiasi kwamba najua kila mtu atapata wa kwake kama ataamua kuruhusu akili yake kutambua....sasa mambo haya ndio yanathibitisha bila chenga kwamba HIV/AIDS ni uongo kuanzia historia yake,nadharia,vipimo vyake na hata madawa yake ya ARVs..


Angalia na ushahidi mwingine huu hapa...halafu wote hawa wamepimwa + wakati wa ujauzito....sasa nadhani watu wataelewa ile point yangu kuhusu vipimo feki vya HIV....kwamba hata mama mjamzito anaweza ku test + bila kujali kama ana kijidudu chochote mwilini au la...

Sasa fikiria ni kina mama wangapi wameshakufa au wana hali mbaya kutokana na kupewa madawa yenye sumu ya ARVs hadi leo hii kwa kuwasingizia kwamba eti wana HIV?
 
....The bottom line ni kwamba MIMBA inaweza sababisha FALSE HIV+ kwenye hivyo vipimo...
-Kaveli-

Sasa hapa inabidi uwaulize kwamba,kuna njia gani wanaitumia kujua kwamba mama huyu mjazito amepata majibu false +?jibu ni kwamba HAKUNA...so long as hali ya ujauzito ndio imesababisha majibu positive,basi ataendelea kutest hivyo kwa muda mrefu mpaka hali itakapobadilika,sasa kwa muda huo wote hawa ma MD na manesi wetu hawana subira,lazima watamwaznishia dozi tu,na baya zaidi sasa hivi hakuna kusubiri,ukipata majibu + papo hapo unapewa zigo la ARVs,unajua kwanini wamefanya hivyo?Kuna sababu hapa nikipata muda nitaeleza baadaye......ndio maana niliwahi kusema kwamba there is no way to test for HIV....na kama watu wangekuwa wepesi kuelewa wangejua kwamba hata hicho kitu kinachoitwa 'false positive' hakipo,ni fiction tu,ili kuwepo na false positive lazima kuwepo na true positive...sasa kama hakuna hata hiyo true positive utawezaje kuwa na false positive?

....Kimsingi, hili suala la HIV/AIDS ni kizungumkuti kikubwa. Lina 'mazingaombwe' na sintofahamu nyingi sana.

-Kaveli-

Mkuu hili suala sio kizungumkuti kabisa....wafundishwaji wenyewe ndio kizungumkuti...yaani pamoja na evidence zote hizo tena nyingine zinatoka kwa haohao wagunduzi,lakini bado unaliona kizungumkuti?Yale mambo ambayo watu wanayaona yana utata si kweli kwamba yana utata...ukiamua kuelewa unaelewa tu kirahisi sana...tatizo watu wameshakuwa brainwashed tayari kwa muda mrefu kiasi kwamba wanalichukulia suala hili kama IMANI...na ndio maana wanakuwa wagumu kuelewa ukweli.
 

Mkuu kundi la 1 na la 3 wako sawa kabisa...ila kuna technic kidogo sana ambayo wengi hawaifikirii...nitakueleza kwanini baadaye....lakini technic hiyo iko kwenye jina lenyewe yaani 'HIV'
 
Mkuu kundi la 1 na la 3 wako sawa kabisa...ila kuna technic kidogo sana ambayo wengi hawaifikirii...nitakueleza kwanini baadaye....lakini technic hiyo iko kwenye jina lenyewe yaani 'HIV'
Kundi la 2: hili ni kundi lisilotaka kukubali (kwa sababu zao kiuchumi, kijamii, kisiasa ukweli kwamba kinga ya mwili hudhoofishwa na magonjwa mbalimbali.

Kutokana na jinsi sisi binadamu tunavyoishi (life style) - matumizi yasiyo sahihi ya muda na vyakula - ikimbatana na kuishi katika mazingira machafu, binadamu tunaugua.

Binadamu tukiugua tunalazimika kutumia madawa (kwa usahihi au la) kutibu hayo magonjwa, bila kujua kwamba kitendo hicho kinadhoofisha kinga ya mwili.

Ushahidi uliyowazi ni masharti yanayoambatana na matumizi ya ARVs km mtumiaje lazima awe na lishe bora.

"Deception" nasubiri kuijua hiyo 'technic" ya kundi la 1 na 2. Lakini ukweli wa makundi haya ni kwamba, kinga dhidi ya UKIMWI kuzuia/kuepuka njia zinazodhohofisha kinga ya mwili km kuupa mwili nafasi ya kujitibu magonjwa, kabla ya matumizi ya dawa. Maji na vyakula vyenye lishe vinaongeza uwezo wa kujitibu.
 
Mkuu kundi la 1 na la 3 wako sawa kabisa...ila kuna technic kidogo sana ambayo wengi hawaifikirii...nitakueleza kwanini baadaye....lakini technic hiyo iko kwenye jina lenyewe yaani 'HIV'
Tunasubiri muendelezo
 
Tunasubiri muendelezo
Wakati tunasubiri maendeleo, ni vizuri kutambua, hadi sasa kisayansi imethibitika kwamba:

1) UKIMWI (AIDS)si ugonjwa - tubadilishe tabia zetu za maisha.

2) Uhusiano wa HIV na AIDS hujathibitishwa. Juhudi zinaendelea kuthibitisha kuwapo kwa HIV na uhusiano wake na AIDS.
 
Mkuu ujue haya mambo ni suala la logic tu.Nitasema kwa ufupi....kwamba makundi yote haya mawili,yaani lile la 1 na lile la 3,yanajua kwamba AIDS haisababishwi na retrovirus aliyepewa jina la HIV.Sasa kwa kuwa huo ndio ukweli,basi kimantiki,jina la HIV linakosa maana yake,yaani kama hicho kirusi kilichopewa jina la 'HIV' hakina tabia inayoakisi jina hilo basi jina lenyewe linakosa maana.Yaani ni sawa na wewe kuniita mimi ng'ombe,wewe kuniita mimi jina hilo haina maana kwamba mimi ndio nimeshakuwa ng'ombe au nina sifa ya ng'ombe,la hasha,ni jina tu ambalo wewe umeamua kunipa kutokana na sababu unazozijua wewe.Sasa hili kundi lingine linaposema hakuna kabisa HIV,liko sahihi kabisa kwa maana hiyo hapo juu......lakini lile kundi lingine lina bypass maana ya HIV na badala yake wanatumia abbreviation hii ya HIV kama jina tu alilopewa retrovirus....pia na kundi hili wanajua wazi kabisa kwamba huyo HIV hakuwahi kutolewa moja kwa moja kutoka kwa mtu anayeshukiwa kuwa naye....na huo ndio ukweli.Sasa hapa kuna wale wanaodadavua HIV kama jina tu na wale wanaodadavua HIV kama maana yake ilivyo kwa kirefu....wote wako sahihi.
 
Mkuu From Sir With Love

Tunaambiwa kwamba HIV yupo kwenye category ya virusi waitwao 'Retrovirus'.

If retroviruses are harmless in the body, why sasa huyo HIV ashambulie kinga ya mwili??!!!

-Kaveli-

Kundi 1 ndiyo wanaamini AIDS ni ugonjwa (tena wa kifo) ambao unaambukizwa na kirusi kutokana na machapisho ya Drs Gallo, R. na Essex, M. Tangu wakati huo dunia nzima inaimba huo wimbo.

Kwa kuwa virusi havina dawa, ila kinga, juhudi sasa kubwa ni kutafuta dawa.

Lakini swali linabaki, kinga inatafutwaje wakati kirusi (HIV) hakijathibitishwa kuwapo wala uhusiano wake na AIDS!
 
2) Uhusiano wa HIV na AIDS hujathibitishwa. Juhudi zinaendelea kuthibitisha kuwapo kwa HIV na uhusiano wake na AIDS.
Hapa ukweli ni kwamba HAKUNA UHUSIANO KATI YA HIV NA AIDS...full stop....na pia HAKUNA JUHUDI ZOZOTE ZINAZOENDELEA KUTHIBITISHA UHUSIANO KATI YA HIV NA AIDS...HAKUNA...yaani miaka zaidi ya 30 imepita bado hawajui uhusiano huo halafu wakati huohuo wameshahitimisha kwamba HIV ndio sababu na weshatoa vipimo na madawa,halafu tena waanze kutafuta upya uhusiano wa HIV na AIDS?...hakuna kitu hicho....ukweli umeshajulikana tayari kwamba hakuna HIV/AIDS..baasi....ndio maana mikanganyiko haiishi kutokea...hata humu kuna mtu kaleta ushahidi wa mambo typical yanayotokea huku mitaani na kwenye vituo vya afya,mifano yote hii watu.wanajifanya hawaioni na badala yake huishia tu kusema kwamba eti suala hili lina utata au ni mazingaombwe....HIV/AIDS sasa imeshakuwa IMANI kama zilivyo IMANI za kidini...ndio maana kumtoa mtu kutoka kwenye utumwa huu wa kimawazo ni vigumu sana.
 
Deception, ukweli wa kisayansi ndio huo, hadi sasa.

Kundi hili pia huwashutumu wa kundi 1 kwamba wanaengemea kwenye utafiti wa Dr Ngallo (mtaalamu na bingwa wa kansa) ambaye anadai kungundua HIV kama 'retrovirus' inayombukiza AIDS, lakini alishindwa kuthibitisha kwamba "retrovirus" inaambukiza kansa.

Tangu wakati huo hadi sasa HIV)AIDS ni wimbo wa kisiasa (kutokana na ugomvi wa USA na France wa nani mvumbuzi wa HIV) ukikuzwa na vyombo vya habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…