HIV virus Images - TEM
Sijui unataka nini zaidi mkuu deception. Ni kwanini ukiugua mafua huwa unaenda kutafuta dawa fasta. Ulishawahi kuviona virusi vinavyosababisha mafua?
Wewe sikiliza...virusi vya mafua vilishawahi kuonekana na vimefanyiwa isolation na purification.Isolation na purification hiyo imetumika kukifanyia kirusi hicho uchunguzi kuanzia Observation,Hypothesis,Experimention na Conlusion kwamba kirusi hicho kweli kinasababisha mafua.
Katika sayansi lazima upitie hatua hizo ili hiyo iitwe sayansi ya kweli.Sasa unaniuliza mimi kama nikiumwa eti lazima nikione kirusi hicho ndio nile dawa?Mbona swali hili halina mantiki kabisa...hiko kirusi kimeshathibitika tayari...na ndio maana wanapokipima na kukiona wanajua ndio hicho,mimi kama mgonjwa sihitaji kukiona,lakini ukweli ni kwamba kiliwashawahi kuonekana kwa kupitia procedure zote za kisayansi.
Sasa niambie,huyo HIV wenu ambaye hizo picha mlizoleta ndizo mnaziamini kwamba ni zake,amefanyiwa wapi Isolation na purification ili kujua kwamba yeye ndiye anayehusika?
Hypothesis na Conlusion ya HIV kwamba anasababisha AIDS havirandani kabisa....sasa hiyo ni sayansi ya wapi?Wewe umeona wapi katika sayansi Hypothesis na Conclusion vinapingana halafu bado watu wanang'ang'ania kuikubali tu?
Eti mwenyewe umeleta picha za HIV,halafu unajiamini kabisa kama umeleta picha za HIV!!!...he he heeeee...ama kweli suala hili ni gumu sana kueleweka...lakini ninachoshukuru ni kwamba,tayari kuna watu wengi sana wameshaelewa na nimeshawaachisha ARVs na wapo wengi ambao hawatumii kabisa ARVs..wote hao wana miaka kadhaa na hawaugui kijinga...
Hivyo basi kama wewe na jamaa zako hamtaki kuelewa ni sawa tu,si lazima niwaeleweshe watu wote....wewe unafikiri kama wote wakielewa tutapunguaje duniani?Mwisho wa siku lazima tupungue..huu ni msaada wangu kwa wengine tu ili wasije kufa kwa kusingiziwa kitu ambacho hakipo.Sasa ni hiari yako kufuatilia na kujifunza,sio lazima ujifunze.