Tetesi: Tangu kuingia awamu hii ya tano, NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wastaafu

Tetesi: Tangu kuingia awamu hii ya tano, NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wastaafu

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
NSSF ni mfuko wa jamii na pesa zilizomo kwenye mfuko huo ni za jamii ikiwa na maana si za serikali ni za wanachama.

Tangu awamu hii ya tano NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wenye pesa zao ambao ni wastaafu, licha ya wastaafu kuwasiliana na waliojipa jukumu la kuwahifadhia lakini shirika limekuwa likishindwa kutoa jibu juu ya kushindwa huko kunasababishwa na nini. Kinachoonekana sasa ni kuwa NSSF inategemea ikusanye pesa toka kwa waajiri ili iweze kuwalipa wastaafu!

Hivyo badala ya malipo kufanyika tarehe 24 ya mwezi yanafanyika kati ya tarehe 29 na 31 ya mwezi baada ya makusanyo!

Ni vyema shirika lijitokeze hadharani na kuwajulisha wastaafu kama waendelee kutegemea pensheni zao ambayo ni halali yao au lijitangaze kuwa limefirisika ili wastaafu waondokane na usumbufu wanaoupata wa kusota kila siku kwenye vituo vya malipo.

Inaonekana NSSF imetoka kwenye jukumu lake la msingi la uhifadhi wa pesa za watu na kuziona kama ni kodi hivyo kuzitumia kwenye majukumu mengine.
 
Kweli hili shirika lazima lijadiliwe.
Kuna wastaafu wanakaribia kupata kiharusi kwa mawazo ya figisu figisu za malipo ya mafao yao.
 
Yaweza kuwa hivo sababu ya kusomesha no matajiri ili waishi kama mashetani,hivo ile michango toka kwa matajiri kila mwezi haipo,baada ya waajiriwa wengi kukosa Kazi Maana matajiri wamehamisha mitaji yao nje ya nchi sababu hawako tayari kusoma no hali wana exposure
 
NSSF ni mfuko wa jamii na pesa zilizomo kwenye mfuko huo ni za jamii ikiwa na maana si za serikali ni za wanachama. Tangu awamu hii ya tano NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wenye pesa zao ambao ni wastaafu, licha ya wastaafu kuwasiliana na waliojipa jukumu la kuwahifadhia lakini shirika limekuwa likishindwa kutoa jibu juu ya kushindwa huko kunasababishwa na nini. Kinachoonekana sasa ni kuwa NSSF inategemea ikusanye pesa toka kwa waajiri ili iweze kuwalipa wastaafu! Hivyo badala ya malipo kufanyika tarehe 24 ya mwezi yanafanyika kati ya tarehe 29 na 31 ya mwezi baada ya makusanyo!
Ni vyema shirika lijitokeze hadharani na kuwajulisha wastaafu kama waendelee kutegemea pensheni zao ambayo ni halali yao au lijitangaze kuwa limefirisika ili wastaafu waondokane na usumbufu wanaoupata wa kusota kila siku kwenye vituo vya malipo.
Inaonekana NSSF imetoka kwenye jukumu lake la msingi la uhifadhi wa pesa za watu na kuziona kama ni kodi hivyo kuzitumia kwenye majukumu mengine.
TUNAUMIZANA KWELI WASTAFU WANALIA
 
Siyo kipindi hiki tu, tangu zamani hawakuwa wakilipa kwa wakati, labda kundi fulani tu dogo ndio waliolipwa kwa wakati...
 
Tatizo ni serikali ktk maeneo mawili;
1. Serikali kuchota fedha ktk mifuko hii hadi kupitiliz kiasi cha kuiacha 'uchi'
2. Serikali kuiacha mifuko hii kufanya uwekezaji usio na tija ktk miradi ambayo ni jukumu la seriakli ie kujenga madaraja. Ikumbukwe kuwa viongozi wa mifuko hii walikuwa wakifanya hivyo kwa ajili ya maslahi binafsi (20%).
 
Tunavyojadiliana hivi kuna wazee kwenye vituo vya malipo wakidhani kuwa malipo yao watayapata leo, kwanini NSSF inashindwa kuwatangazia kwa muda muafaka kupitia vyombo vya habari, ni dharau ya kutowajali wazee ambao baadhi yao wanatoka vijijini kuja mjini kwa ajili ya malipo.
 
Kwavile magumu ya serikali hii tunayaonja sote wanaosifia na wanaoiponda basi kwangu mimi moyo wangu nakua burudaani kabisa.
 
NSSF ni mfuko wa jamii na pesa zilizomo kwenye mfuko huo ni za jamii ikiwa na maana si za serikali ni za wanachama.

Tangu awamu hii ya tano NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wenye pesa zao ambao ni wastaafu, licha ya wastaafu kuwasiliana na waliojipa jukumu la kuwahifadhia lakini shirika limekuwa likishindwa kutoa jibu juu ya kushindwa huko kunasababishwa na nini. Kinachoonekana sasa ni kuwa NSSF inategemea ikusanye pesa toka kwa waajiri ili iweze kuwalipa wastaafu!

Hivyo badala ya malipo kufanyika tarehe 24 ya mwezi yanafanyika kati ya tarehe 29 na 31 ya mwezi baada ya makusanyo!

Ni vyema shirika lijitokeze hadharani na kuwajulisha wastaafu kama waendelee kutegemea pensheni zao ambayo ni halali yao au lijitangaze kuwa limefirisika ili wastaafu waondokane na usumbufu wanaoupata wa kusota kila siku kwenye vituo vya malipo.

Inaonekana NSSF imetoka kwenye jukumu lake la msingi la uhifadhi wa pesa za watu na kuziona kama ni kodi hivyo kuzitumia kwenye majukumu mengine.

Sasa huo ni uchizi, umesema limeshindwa at the same time umesema linawalipa tarehe 29, na 31 sasa limeshindwa au utaratibu umebadilika!?
Hata serikali syo kila wakati mshahara unawahi, mara tarehe 24-30.kumbuka nssf wanapita ktk awamu tofauti za kiuongozi lazma waweke utaratibu mzuri wa kuhudumia wastaafu
 
NSSF ni mfuko wa jamii na pesa zilizomo kwenye mfuko huo ni za jamii ikiwa na maana si za serikali ni za wanachama.

Tangu awamu hii ya tano NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wenye pesa zao ambao ni wastaafu, licha ya wastaafu kuwasiliana na waliojipa jukumu la kuwahifadhia lakini shirika limekuwa likishindwa kutoa jibu juu ya kushindwa huko kunasababishwa na nini. Kinachoonekana sasa ni kuwa NSSF inategemea ikusanye pesa toka kwa waajiri ili iweze kuwalipa wastaafu!

Hivyo badala ya malipo kufanyika tarehe 24 ya mwezi yanafanyika kati ya tarehe 29 na 31 ya mwezi baada ya makusanyo!

Ni vyema shirika lijitokeze hadharani na kuwajulisha wastaafu kama waendelee kutegemea pensheni zao ambayo ni halali yao au lijitangaze kuwa limefirisika ili wastaafu waondokane na usumbufu wanaoupata wa kusota kila siku kwenye vituo vya malipo.

Inaonekana NSSF imetoka kwenye jukumu lake la msingi la uhifadhi wa pesa za watu na kuziona kama ni kodi hivyo kuzitumia kwenye majukumu mengine.
Ni kweli nssf ni tawi LA ccm
 
Sasa huo ni uchizi, umesema limeshindwa at the same time umesema linawalipa tarehe 29, na 31 sasa limeshindwa au utaratibu umebadilika!?
Hata serikali syo kila wakati mshahara unawahi, mara tarehe 24-30.kumbuka nssf wanapita ktk awamu tofauti za kiuongozi lazma waweke utaratibu mzuri wa kuhudumia wastaafu
Utakuwa ulifeli kiswahili, soma vizuri uelewe kisha chukua hatua badala ya kunikashifu kwa ujinga wako wakutoelewa kusoma.
Nikiusaidie tu mjinga wewe, sentensi inasema ...imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati.....nitake radhi, neno kwa wakati linamaana wanalipa lakini muda sio sahihi.
 
Utakuwa ulifeli kiswahili, soma vizuri uelewe kisha chukua hatua badala ya kunikashifu kwa ujinga wako wakutoelewa kusoma.
Nikiusaidie tu mjinga wewe, sentensi inasema ...imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati.....nitake radhi, neno kwa wakati linamaana wanalipa lakini muda sio sahihi.
We ni mpumbavu, wakati ulikuwa ni upi ulokuwa arcetained na sheria kuwa tarehe 24 wanalipa.changes ya four days is negligible you caracature.
 
Ni mwezi wa saba tokea rafiki yangu mmoja ameanza ufuatiliaji hawajamlipa
 
Unaelekezwa upige mamba 0800756773 huko unakumbana na mtu asiyeweza kukusaidia ni kama dalali, kama kawaida ya tz ...tutalifanyia kazi...malipo yanachelewa kwa sababu ya maboresho...mwaka mzima!
Maboresho gani yanayozuia malipo kwa wakati mwaka mzima!
 
Vumilieni pesa yenu tunatumia kujenga magorofa!

Ova
 
Back
Top Bottom