Tetesi: Tangu kuingia awamu hii ya tano, NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wastaafu

Tetesi: Tangu kuingia awamu hii ya tano, NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wastaafu

Yaweza kuwa hivo sababu ya kusomesha no matajiri ili waishi kama mashetani,hivo ile michango toka kwa matajiri kila mwezi haipo,baada ya waajiriwa wengi kukosa Kazi Maana matajiri wamehamisha mitaji yao nje ya nchi sababu hawako tayari kusoma no hali wana exposure
Hizo ni sababu mojawapo, lakini mimi nadhani sababu kubwa ni Serikali kujichotea hizo pesa za wanachama na hairudishi!
 
We ni mpumbavu, wakati ulikuwa ni upi ulokuwa arcetained na sheria kuwa tarehe 24 wanalipa.changes ya four days is negligible you caracature.
Are you Okay! Usinitukane ukidhani uko salama ndani ya fake identintity, kama umeshindwa au ni mvivu wa kusoma na kuelewa bora uachane na mada hii kwani inahusu wazee wastaafu na wanachama.
Nikikuhitaji nitakupata tu na utaniambia kisa cha kunitukana.
Achana na usilolijua.
 
Are you Okay! Usinitukane ukidhani uko salama ndani ya fake identintity, kama umeshindwa au ni mvivu wa kusoma na kuelewa bora uachane na mada hii kwani inahusu wazee wastaafu na wanachama.
Nikikuhitaji nitakupata tu na utaniambia kisa cha kunitukana.
Achana na usilolijua.

Wacha kutisha watu kufa na mapanya buku wenu huko
 
Uwekezaji wa NSSF (Wamebsadili jina) haufanywi tena kwa investment appraisal. Unafanywa kishabiki kumfurahisha Msukuma. Isitoshe serikali inakopa sana halafu hailipi kwa wakati na wakati mwingine ina-understate kiasi ilichokopa ili isikemewe.
 
NSSF ni mfuko wa jamii na pesa zilizomo kwenye mfuko huo ni za jamii ikiwa na maana si za serikali ni za wanachama.

Tangu awamu hii ya tano NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wenye pesa zao ambao ni wastaafu, licha ya wastaafu kuwasiliana na waliojipa jukumu la kuwahifadhia lakini shirika limekuwa likishindwa kutoa jibu juu ya kushindwa huko kunasababishwa na nini. Kinachoonekana sasa ni kuwa NSSF inategemea ikusanye pesa toka kwa waajiri ili iweze kuwalipa wastaafu!

Hivyo badala ya malipo kufanyika tarehe 24 ya mwezi yanafanyika kati ya tarehe 29 na 31 ya mwezi baada ya makusanyo!

Ni vyema shirika lijitokeze hadharani na kuwajulisha wastaafu kama waendelee kutegemea pensheni zao ambayo ni halali yao au lijitangaze kuwa limefirisika ili wastaafu waondokane na usumbufu wanaoupata wa kusota kila siku kwenye vituo vya malipo.

Inaonekana NSSF imetoka kwenye jukumu lake la msingi la uhifadhi wa pesa za watu na kuziona kama ni kodi hivyo kuzitumia kwenye majukumu mengine.
Hukuuliza hela za kununua ndege zilitoka wapi. Unafikiri zilitoka kwa mjomba?
 
Wacha kutisha watu kufa na mapanya buku wenu huko
Your phone and line are your identity.
Anyway, haukuingia kuchangia mada bali kutafuta shari, wanaoelewa umuhimu wa mada hii wamejikita kwenye mada, hata hiyo tarehe 24 ndivyo tarehe wanayoitambua wao na ndivyo sababu wakaomba radhi.
 
Tunajenga Chuttle kwanza
NSSF ni mfuko wa jamii na pesa zilizomo kwenye mfuko huo ni za jamii ikiwa na maana si za serikali ni za wanachama.

Tangu awamu hii ya tano NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa wakati wenye pesa zao ambao ni wastaafu, licha ya wastaafu kuwasiliana na waliojipa jukumu la kuwahifadhia lakini shirika limekuwa likishindwa kutoa jibu juu ya kushindwa huko kunasababishwa na nini. Kinachoonekana sasa ni kuwa NSSF inategemea ikusanye pesa toka kwa waajiri ili iweze kuwalipa wastaafu!

Hivyo badala ya malipo kufanyika tarehe 24 ya mwezi yanafanyika kati ya tarehe 29 na 31 ya mwezi baada ya makusanyo!

Ni vyema shirika lijitokeze hadharani na kuwajulisha wastaafu kama waendelee kutegemea pensheni zao ambayo ni halali yao au lijitangaze kuwa limefirisika ili wastaafu waondokane na usumbufu wanaoupata wa kusota kila siku kwenye vituo vya malipo.

Inaonekana NSSF imetoka kwenye jukumu lake la msingi la uhifadhi wa pesa za watu na kuziona kama ni kodi hivyo kuzitumia kwenye majukumu mengine.
 
Sijui yule Dr.Dau alikuwa na tunguri gani, kuitoa NSSF kwenye hasara mpaka shirika la umma pekee lenye faida kubwa na maendeleo. Leo tunaliona shirika linayumba
 
Sijui yule Dr.Dau alikuwa na tunguri gani, kuitoa NSSF kwenye hasara mpaka shirika la umma pekee lenye faida kubwa na maendeleo. Leo tunaliona shirika linayumba
...nasikia gorofa lake pale Leaders limeuzwa
 
Sasa huo ni uchizi, umesema limeshindwa at the same time umesema linawalipa tarehe 29, na 31 sasa limeshindwa au utaratibu umebadilika!?
Hata serikali syo kila wakati mshahara unawahi, mara tarehe 24-30.kumbuka nssf wanapita ktk awamu tofauti za kiuongozi lazma waweke utaratibu mzuri wa kuhudumia wastaafu
Pointless ukusanye pesa ya mtu halafu umpangie namna ya kuchukua huu ujinga watanzania tunautoa wapi?
 
Mimi nilimuuliza mfanyakazi wa nssf akasema wameambiwa wasitishe malipo kwa wanachama kuna sheria mpya watapewa mwezi wa pili ndio wanasubilia
 
Mbona unalipa kodi na huna mamlaka ya kuhoji.
Magufuli mjanja anapoandaa bunge la ccm watupu ili mambo kama haya wajinga kama nyie msijue haki zenu

Hutuwezi sisi kuhoji mmoja mmoja kuna mbunge na Cag uwe na akili timamu hao wawakilish wetu wanaosimamia serikali
 
Kweli hili shirika lazima lijadiliwe.
Kuna wastaafu wanakaribia kupata kiharusi kwa mawazo ya figisu figisu za malipo ya mafao yao.
Lakini wao si ndio wañaiweka.
madarakani sema wengi walikuwa na vyeti feki ndio maana wakawa wanaipenda san ccm, acha iwanyooshe tu.
 
mimi mwenyewe ni muadhirika wa kutolipwa mafao yangu,kila mwezi naenda ppf Arusha kuulizia ninachoambiwa eti bado wanaamia Dodoma.hivi natafuta njia ya kuwashitaki mahakamani au watakapofikia hatua ya kunilipa niwadai fidia.mtoto wangu sasa hivi amerudishwa nyumbani kwa kukosa ada na yuko kidato cha sita
 
Yaweza kuwa hivo sababu ya kusomesha no matajiri ili waishi kama mashetani,hivo ile michango toka kwa matajiri kila mwezi haipo,baada ya waajiriwa wengi kukosa Kazi Maana matajiri wamehamisha mitaji yao nje ya nchi sababu hawako tayari kusoma no hali wana exposure
Ni kama kitengo cha kuhujumu na kuibia wanachama kwa kweli ni WEZI wakubwa
 
Back
Top Bottom