Tangu mashindano ya CAF yaanze, leo ndio nimeshuhudia mpira mbovu kutoka kwa vibonde wa Raja Casablanca

Horoya sio vibonde wenzenu shehe.. ndio maana waliwala kimoja cha nguruwe na wanauwezo wakuwala tena mkizembea maana nyie ni vibonde.
Vibonde kivipi? Mashindano kama haya ya ligi ni mahesabu tu yanatumika. Hakuna faida za ziada ya kupata 100 wakati hata 81 inakupa A.

Wenzako walikuwa wanawaita hao Horoya wachovu, tukawa tunawakumbusha wapo kwenye Super Cup hao.
 
Mwiko nyuma umeng'ang'ania baada ya kukukata seal ya mk......
 
Paka mwiko grisi Kisha ingiza tena
 

Attachments

  • 59C11DEA-478B-49B4-8697-0A3CD555FEAE.png
    138.5 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…