Tangu mchepuko wangu aanze vicoba, amekuwa na tabia ya kuniibia

Tangu mchepuko wangu aanze vicoba, amekuwa na tabia ya kuniibia

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasubiri mwizi kuibiwa na mwenye mali sijui atasemaje hpo
 
Mpe ru kibubu chake lkn uwe makini usiwe unaenda na pesa hapo kbsa ova hyo kesi siyk nzur kwako unatafuta lawama kuserchiwa sawa tu
 
Haijui jf, ndo maana Najiamini 100%.
MDA mwingi Yuko watsapp, Instagram na tiktok
Ila siku hz watu wanachukuwa story huku wanapeleka kwemye vile app ambazo sinatoa matangazo Kuna siku nilikatiza Moja nikaona story hyo ilikuwa jf ila uko mtu anatafuta ushauri uwe makini

Anaweza asiwe jf ila story za huku sinaamishwa na wahuni kupost kule
 
Hiyo app inaitwa Phoenix huwa wanatumia story za jf kupamba peji zao

Msamehe mchepuko kwa kuwa ajakuiba milioni muache tu ila usiwe unaenda na pesa hapo
 
Ila siku hz watu wanachukuwa story huku wanapeleka kwemye vile app ambazo sinatoa matangazo Kuna siku nilikatiza Moja nikaona story hyo ilikuwa jf ila uko mtu anatafuta ushauri uwe makini

Anaweza asiwe jf ila story za huku sinaamishwa na wahuni kupost kule
Duh! [emoji44]
Ya kweli Ayo mkuu?[emoji848]
 
Hiyo app inaitwa Phoenix huwa wanatumia story za jf kupamba peji zao

Msamehe mchepuko kwa kuwa ajakuiba milioni muache tu ila usiwe unaenda na pesa hapo
Wala Hata Sina mpango wa kumuadhibu, ila kumuumbua TU aone aibu na kumuonya aache ujinga na utoto anaoufanya.

Sijajua Ni kukimbizana na rejesho la vikoba au lah, ila Hii tabia Imeibuka hivi karibun Kwan Kasi Sana[emoji848]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasubiri mwizi kuibiwa na mwenye mali sijui atasemaje hpo
Ha ha ha....
Uyu binti Sijui Nani kamdanganya Aanze huu ujinga, anatafuta kulazimisha nione anafanya saving kumbe pesa Zenyewe anachukua kwangu kihuni
 
Summary please
Ni kwamba mchepuko alitaka nimfungulie biashara,

Nikampa condition kwamba ili nimsapoti sharti Kodi na pesa ya kuanzia atafute mwnyw kwa mshahara wake, nitamboost mbele ya Safar.

Mchepuko akaona Njia sahii Ni kucheza vikoba kwa kuweka akiba kidg kidg, wakivunja akafungue duka.

Sasa tamaa ya kurejesha rejesho la kikoba na kuweka akiba yakafungue biashara, Akaanza tabia ya kunisachi mifukoni akinikwapua ela kidg kidg ili kuweka akiba kwny kibubu.

Nmemuwekea mtego wa kumnasa akiniibia pesa, ndo nasubir ulipuke ili nimwambie na nimkanye tabia iyo.
 
Ni kwamba mchepuko alitaka nimfungulie biashara,

Nikampa condition kwamba ili nimsapoti sharti Kodi na pesa ya kuanzia atafute mwnyw kwa mshahara wake, nitamboost mbele ya Safar.

Mchepuko akaona Njia sahii Ni kucheza vikoba kwa kuweka akiba kidg kidg, wakivunja akafungue duka.

Sasa tamaa ya kurejesha rejesho la kikoba na kuweka akiba yakafungue biashara, Akaanza tabia ya kunisachi mifukoni akinikwapua ela kidg kidg ili kuweka akiba kwny kibubu.

Nmemuwekea mtego wa kumnasa akiniibia pesa, ndo nasubir ulipuke ili nimwambie na nimkanye tabia iyo.
😂😂😂😂 Mchepuko kiboko..naomba usisahau mrejesho
🙏🙏Kwa summary..👊
 
Back
Top Bottom